Kheri ya Krismasi na mwaka mpya wakuu.
Baadhi ya simu za Android zimekuwa zikija na Internal Memory ndogo kiasi ambacho inahitaji kununua SD card (Memory Card) ili kuweza kuongeza space lakini kumekuwa na utofauti wa Internal Memory na SD card Memory.
Nikihitaji kuifanya memory labda yenye GB...
Habari za mida hii wana jamvi??
Nahitahitaji msaada wa haraka wa kimawazo juu ya jambo hili!!
Mdogo wangu wa kike anasoma chuo cha Sokoine (SUA) -Morogoro na jana mida ya saa 1 jioni wakati anatoka kwenye vipindi pale pale chuoni akiwa anatembea na mabinti wenzie ghafla ilipita boda boda na...
Habari wanajamvi na wapenzi wa games
Mzigo wa DLS 2017 ushatoka kitambo,naomba msaada wa link yake ambayo ipo cracked tayari ili kupata unlimited coins.
Habari wana jamvi
Ifikapo tarehe 25 ya mwezi huu wa Dec sehemu nyingi Duniani tutakua tunasheherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa YESU kristo kwa wale wa madhehebu ya kikiristo.
Siku hii hujulikana maarufu kama KRISIMASI(Christmass day)
Kuelekea siku hii hua kunakua na nyimbo maalumu kwa ajili ya...
Chuo cha st. Joseph (hasa kampasi za Songea na Arusha) kimekua kikikabiliwa na tatizo la migomo ya wanafunzi kwa muda mrefu sana, na baadhi ya madai ya wanafunzi ni haya;
•Chuo kutokua na mazingira ya chuo kikuu
•Chuo kutokua na walimu/lecturers wenye hadhi ya chuo(unqalified lecturers)
•Chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.