Search results

  1. mojoki

    BoT yaomba radhi: Ni baada ya kukosea na kusema Milioni 300 badala ya Bilioni 300

    Humu JF kuna watu vilaza sana, achana nao watakuchosha bure
  2. mojoki

    Dkt Mlundwa: Zitto atofautishe Uchumi na Uhasibu

    Ww bora hata zitto, hakuna short and clear kwenye uhasibu, thats why kukawa na notes kukuwezesha kupata details sababu what you see on the face of financials are just summaries.
  3. mojoki

    Tupeane Taarifa benki zinazosuasua ili tutoe fedha zetu kabla hazijatangazwa mfilisi

    Ukipeleka fedha benki sio kwamba inakaa inakusubiri, inatolewa na kukopeshwa watu, kwa maana hiyo hakuna pesa za kuwarudishia wateja wote kwa mkupuo...ndio maana mnakula kwanza kianzio cha 1.5 wakati mchakato unafanyanyika kutafuta mpunga mwingine kwa kuuza mali za benki
  4. mojoki

    Ushauri: Usikubali mwanamke akurubuni mkajenge jirani na kwao

    Naamini tanzania yote ni kwetu i can build a house and libe anywhere
  5. mojoki

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, kuwahamishia wauza magari Kigamboni

    Na wenye comment za namna hii mtengewe forum yenu[emoji848][emoji848]
  6. mojoki

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Akija mpeleke hadi nyumbani kwako, kisha muingize chumbani, Zima taa, mpandishe kitandani, kama kuna joto joto mnaweza mkapunguza nguo, Kisha mwambie ukweli kwamba ni mke wa mtu na anapaswa kujiheshimu
  7. mojoki

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    sio kweli kasome tena ulikosoma...
  8. mojoki

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    We kweli kilaza, kumbe umetoa iPhone 4, It means hata hufahamu kwamba iPhone 4 is no longer supported when upgrading to latest iOS which have key feature of icloud lock
  9. mojoki

    Free ACCA/CPA Materials F1 to P7

    Use below link 1 to signup and get 10 GB free cloud space where you can copy all the below files (ACCA MATERIALS) on link No.2 to your account. Link 1:http://mfi.re/?frb0e8i Follow below link to get free BPP Books for ACCA and CPA studies together with KITS (Question and Answers) from F1 to...
  10. mojoki

    Shemeji yangu amenifanyia kituko cha ajabu sana!

    Acha hizo mambo wanawake wako wengi
  11. mojoki

    Kila tukipanga kukutana anakuja na girlfriend wake, nimechoka

    Anataka 3some huyo...nae amechoka hata humuelewi
  12. mojoki

    Somo kuhusu WhatsApp

    Update ur whatsapp
  13. mojoki

    Natafuta mtu anayeweza kuandika research paper for master's degree kwenye masuala ya business

    Please check inbox or leave your contacts here
Back
Top Bottom