Ww bora hata zitto, hakuna short and clear kwenye uhasibu, thats why kukawa na notes kukuwezesha kupata details sababu what you see on the face of financials are just summaries.
Ukipeleka fedha benki sio kwamba inakaa inakusubiri, inatolewa na kukopeshwa watu, kwa maana hiyo hakuna pesa za kuwarudishia wateja wote kwa mkupuo...ndio maana mnakula kwanza kianzio cha 1.5 wakati mchakato unafanyanyika kutafuta mpunga mwingine kwa kuuza mali za benki
Akija mpeleke hadi nyumbani kwako, kisha muingize chumbani, Zima taa, mpandishe kitandani, kama kuna joto joto mnaweza mkapunguza nguo, Kisha mwambie ukweli kwamba ni mke wa mtu na anapaswa kujiheshimu
We kweli kilaza, kumbe umetoa iPhone 4, It means hata hufahamu kwamba iPhone 4 is no longer supported when upgrading to latest iOS which have key feature of icloud lock
Use below link 1 to signup and get 10 GB free cloud space where you can copy all the below files (ACCA MATERIALS) on link No.2 to your account.
Link 1:http://mfi.re/?frb0e8i
Follow below link to get free BPP Books for ACCA and CPA studies together with KITS (Question and Answers) from F1 to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.