Media za nje hazimdhalilishi huyu Mtukufu. Kauli zake ndizo zinamdhalilisha. Nadhani ungeshauri wasaidizi wa mtukufu wamshauri na kujielekeza katika kuboresha yale anayoongea mbele y'all media.
Nakupongeza sana kwa Maneno mazuri, Umenena kweli mkuu, ila tatizo la hicho chama cha magamba si wasikivu. Usishangae haya wakaja kuona ukweli wake baada ya miaka kumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.