Shame !unampaje mtu kitu halafu unachukua tena. Sasa wasitupe tena hivyo vimsaada njaa vyao. Yaani hata wakiwa wabaya wachaguliwe tu kwa sababau ya virushwa!
Huko boarding kuna mambo sana, watoto wengi wameharibiwa. Patron analala kule vijana wanafanya mambo yao. So kumpeleka mtoto mdogo bording tusipende sana . Awe wa kike au wakiume . Wazazi wengi siku hizi wako busy na kutafuta pesa malezi ya watoto wao wamewaachia walimu na walezi wa shule na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.