Nataka ninunue Samsung note 9 Ila sijui namna ya kutambua original Na fake specs 8gb ram 512gb rom Na bei 380,000 inapouzwa ( marketplace) Facebook naombeni nisije ingia choo cha kike wakuu
Mwenye kufahamu jinsi ya kuzuia simu isile sana bando naingia na kuperuzi jamii lakini bando linaenda na hasa hii app jamiiforum inakula sana bando hadi naogopa kuweka bando
Nilipata changamoto kutopata email ambayo ina password yakuingia kwenye mfumo ili upakue fomu ya maombi ya kazi sensa. Hii ilitokea baadaya kukamikisha zoezi zima la ujazaji wa taarifa kufanikiwa kutuma lakini cha ajabu sikupa message yoyote iliyotuma kwenye email meseji zingine zinaingia ila...
Hivi huyu jamaa ni kweli anauza hizi laptops zenye sifa za juu kwa bei hii! Au ni tapeli mwenye ushuhuda aliyenunua kwa bei hizo atuambue kama kweli. Tena fully boxed! Maana hii ni bei rahisi sana kwa sifa za laptops anazotuma kupatana labda kama pesa imepanda thamani kwa kasi hivi karibu...
Nilitumia adobe acrobat reader kwa muda siku walizonipa baada ya installation, sasa siwezi kuitumia tena kwakuwa muda wake umeisha, je kuna namna yeyote naweza kutumia ili niactivate niweze kutumia?
Nimekuwa nikiagiza bidhaa nyingi kutoka Aliexpress, na mara zote nimekuwa nikitozwa kodi kubwa na posta ninapoenda kuchukua mzigo zaidi ya bidhaa bei ninazoagiza.
Nataka kujua kwa wenzangu ambao mnaagiza kama nyie mnatozwa hivyo au mimi nakosea sehemu!
Mnielekeze nifanyaje ili kupunguza kodi.
Habari za asubuhi wanajamii forum wenzangu, nina swali nataka niulize nina projector aina ya sony 3LCD nataka niuze ila sijajua thamani yake.
Kama kuna yeyote anayejua bei za projector aniambie ili nikadirie bei ya kuuza, ni kama mpya imetumika vizuri haina mikwaruzo
Sent using Jamii Forums...
Nauza volcano box kwa ajili ya kuflashia simu not activated full boxed pamoja na cable zake zote bei 100k, kwa mawasiliano 0738253942, 0719152715
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza laptop aina ya 250 g4 kama kama spare parts haiwaki, ikiwa na vitu vifuatavyo vizima display, keyboard, ram 2gb, malango dvd rw, na body yake ikiwa katika hali nzuri bei kwa mawasiliano piga 0719152715, pia kuna battery ya laptop elite book nimeshindwa kuweka picha iko mbali na mimi kwa...
Nimeinstal FIFA 18 inacheza kwa kunasanasa pia vichwa vichwa vya wachezaj havionekani, na watch dog 2 yenyewe inaleta msg 'unable to locate uplay pc, please reinstal uplay pc tafadhari msaada nimekwama nashindwa pa kuanzia, pc yangu specs hp envy i5, x360 4th gen,ram 8,windows 10,1000gb kwako mkwawa
Inashindwa kusoma external HDD umeme unaofika kwenye external HDD ni Mdogo ambao unashindwa kufungua external HDD inawasha taa na kuzima nahisi kama umeme unaofika kwenye external HDD ni mdogo. Je nawezaje kutatua hili tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.