Hongera sana Kiongozi kwa mada njema sana!
Kwa Utangulizi ni muhimu kuyachunguza maandiko kwa umakini na kuuliza kama jinsi ambavyo wewe unafanya - Mtume Paulo Aliwasifia sana WABELOYA ambao hawakuridhika tu na kumsikia Paulo akihubiri na kufundisha bali waliyachunguza maandiko kwa Umakini...
Aliyekuwa anaongoza kipindi cha KITIMOTO enzi hizo ITV. - Paschal Mayalla.
Munga Tehenani na Wengine wengi - Mungu awabariki kwa kazi zao njema waliopo na waliotangulia mbele za haki.
Uandishi wa Habari ni Taaluma iheshimiwe.
Uandishi wa Habari ni Wito - Walionao Waitike
Uandishi wa Habari ni...
Mzee Mohamed Said Heri ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mohamed Said ni Mjasiri na Msomi mzuri sana hasa katika Historia ya Tanganyika hilo halina mjadala.
Nilipata kusoma Review ya Kitabu chake Cha Uamuzi wa Busara wa Tabora kwenye gazeti moja la nchini Kenya! Nikashangaa sana! Mbona...
Habari za Jumapili wapendwa wangu ambao kwa uaminifu kabisa hamkupita bila kusema neno juu ya Mada niliyotuma hapa hivi karibuni.(Msaada-wa-jinsi-ya-kusamehe-na-kuachilia.)
MREJESHO: Michango yenu imenipa maana sana ya Maisha : I hope now hakuna Mpumbavu ambaye atakatiza mbele yangu na fake...
David Nasaw Biographer wa Joseph Kennedy anadai alijaribu kutafuta vyanzo nyeti kuhusu hili lakini aligundua ni stori tu na umbea wa Wamarekani na kwamba Mzee Joseph Kennedy hakutajirika kwa sababu ya biashara ya pombe, ingawaje hili lilivuma sana marekani kuwa chanzo cha Utajiri wake ni...
BOOTLEG! Pombe ikawa bidhaa adimu! Bidhaa bora na ndio chanzo cha Wahalifu Wakubwa waliounda Familia 5 hatari za Uhalifu wa Kimafia (Mafia Crime Syndicates) kama Kina Charles Lucky Luciano,Al Capone,Babyface,Vincent Gigante na nk.
Infantry Soldier! Salute mkuu.
Naomba nami pia nichangiepo tafadhali.
MKWAWA MKWAVINYIKA BIN MUNYIGUMBA! SHUJAA AU MUOGA?
Ushujaa haumaniishi kuwa Utaishi au Utakufa!
Shujaa ni Matendo au Hiba ya Mtu aliyefanya jambo la Ujasiri na Uzalendo kwa Watu wake au Asili yake kwa gharama ambayo...
Pole sana Jeeper Screeper!
Mapenzi hayalazimishwi,mpe muda wa kufanya upumbavu wake(Penzi Jipya ),baadae atarudi normal kama ni wakurudi!
Umemgharamia mambo mengi usiyahesabu,fanya kama ulimsaidia mpita njia.
Jipe moyo mkuu - badilisha focus! Fanya Maombi,lipe muda jambo hili,Hebu concentrate...
Hongera sana DA' VINCI XV kwa kufanya utafiti kuhusu taarifa za huyu Mwendawazimu wa karne ya Ishirini Adolf Hitler.
Kutokana na taarifa hizi za karibuni hii inathibitisha utafiti wa Prof. Hugh Trevor Roper Mwanahistoria aliyezuru Ujerumani mapema baada ya vita vya pili vya dunia na...
Hello Sir Ngabu!
Sijasoma comments zote za wadau lakini kwa chache nilizopitia ninachokiona hapa ni Ushabiki usio na mantiki unaoletwa na wadau wanaompenda na kumwamini sana Tundu Lisu,Ukweli unabaki palepale Umejenga hoja nzuri sana kuhusu Mahojiano ya Shaka Ssali na Tundu Lisu.
Nilichokiona...
Salaam!
Tarehe 26/03/2021 Ni siku ya Kumpumzisha Aliyekuwa Rais wetu John Pombe Magufuli huko kwao Chato.
Nawapongeza sana JamiiForums Facebook page kwa Kuelewa na Kumuenzi kwa Nukuuu Nkutu alizowahi kuzisema wakati wa uhai wake.
Na moja ya nukuu hizo ina maneno haya "Siku moja mtanikumbuka...
Johnson Mbwambo - Mwandishi Mzuri sana na Alivuma sana na Msemo wake wa kumnukuu Pastor Martin Niemoller
First they came for the socialists, and I did not speak out—
Because I was not a socialist.
Then they came for the trade unionists, and I did not speak out—
Because I was not a...
Good Sana! Sir Mshana Jr.
Munga Tehenan,Namkumbuka huyu Gwiji wa Habari,niliwahi msoma kwenye gazeti la RAI Nguvu ya Hoja.
Makala zake zilikuwa za kipekee sana.
Lakini nilikuja kununua kitabu chake ambacho nilijufunza kitu cha pekee sana! ambacho waandishi wengi hawafanyii kazi! Kuthibitisha...
Maana yako ni kuwa unapenda kusomea mambo ya habari na mawasiliano ya umma! vema.
Kwa ngazi ya cheti vyuo viko vingi - lakini ni bora ukatafuta vyuo vyenye ithibati ili uweze kuendelea zaidi na masomo ya ngazi zingine utakapo hitaji.
JARIBU VYUO VIFUATAVYO:
SAUT/AMUCTA - Walikuwa wanatoa Cheti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.