Taarifa zako unajaza Online Uhamiaji wanazi link na mifumo mingine.bkuna watu wanapata chini ya siku 2 kama mkoani kwako wame verify taarifa zako unataka tena ukae mwaka. Siku 7 zinatosha. Kama unaona chache kaa hata mwezi uende kuchukua shida iko wapi. Watu tunapenda taabu
Aidha rekebisha heading. Mwanaume habakwi. Labda hiyo kujihusisha kimapenzi na mtoto chini ya miaka 18. Kubakwa kuingiliwa pasipo hiari. Sasa huyo dogo si ilikiwa inasimama na inatema wazungu vzr. Usikute anaenda hata round 3 na kusikilizia kabisa. Hakimu kahukumu kwa mihemko tu
Kuna mafuriko Kilombero. Je kwa ajilli ya Bwawa hilo pia?
Land slide ya Hanang je UNESCO wanashauri nini?.
Tuache ujuaji maandazi.
Point niliyochukua ni kujenga kwa gharama ambako kulihitajika ili liwe imara
Ninachojua na kuamini pasipo shaka ni kiwa Bwawa halizalishi maji hivyo maji hayo kwa...
Andelea na maisha usitishwe sana. Kansa na kisukari ni hatari zaidi. Epuka mitindo ya maisha itakayokuingiza katika magonjwa ya mtindo wa maisha. CHUKUA TAHADHARIYA MAHUSIANO YA KIMAPENZI
Sio RAHISI
Mtu akiwa anatymia dawa Viralload huwa.ndogo kiasi kwamba gata uwezekano wa kuambukiza hupungua sana sana lkn unashauriwa kupima kujiridhisha na KUCHUKUA TAHADHARI.
Hata hivyo kuwa na Matymaini kuwa pamoha na yote unaweza kuendelea kuishi kwa malengo yako ya maisha.
Mwisho lkn si...
Watakisaidiawengine maan a tayari wewe uko kundi la watu wanaonena bila kitumia akili(akili hazina matunda).
Kama ndio uamuzi wako ni hiari yako ila hakuna lugha zisizo na maana.
Ungetumia kanani ya kuomba kwa roho na akili ungefaidika sana
15 Imekuwaje, basi? Nitaomba kwa roho, tena nitaomba...
Kama unasema Mamelodi walikaa na mpira sek hadi 30 kwanini wasiende mbele. Yanga jana walicheza vzr wakiwa hawana wachezaji wao 3 muhimu. Sometime tujifunze kupongeza. Ubgesema walipoteza nafasi zile za goli kwa kukosa umakoni mbele ya lango la adui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.