Naamini ni ile KUKOMAA KWAMBA YULE NA HUYU NI WAMOJA,wakati yule tunamuangalia Kwa picha mbovu sana,halafu kutaka kuwajibujibu "WAZEE",Wazee ni dawa,huwezi kushindananao!.
Mchawi kama kukuganga au kukuroga,uchawi unaaminiwa na mtu aliyetokea familia lozilozi,kama wewe wanao lazima wawe vigagula maana unamwambia mtu anaejijua mwenyewe kuwa"ACHA KUTUDANGANYA",inaonekana imani yako ni haba kwa muumba.
Niliwahi kuwa na rafi yangu tulipokuwa tnajifunza maisha,kila tukianzisha dili anasema twende kwa mganga,nilikataa tokea miaka hiyo,sikuwahi kwenda kwa mganga wala kuchanjwa mpaka hapa nilipofika na nina nafuu ya maisha.
Lugha,ulafi na kukosa uzalendo kwa pamoja,hata wanapoambiwa na inasomeka HAWATAKI kwa sababu ya matumbo,tuombe Mungu uumbaji wake mpya awake migongo miwili na ikiwezekana viungo vya uzazi vibadilishe au mfumo wenyewe.
Vyote hivi ni tatizo.
Chochote inachowaambia,hata mkataba wenyewe au kifungu fulani kibovu"wanakuwa hivyo hivyo,na wanasema wakutafutie mtu wa kukuelimisha,wakati wenyewe hawajaelewa.
Kabisa kabisa,lakini wanafanya makusudi kwaajili ya migao yao,one bwanamdogo"anavyomtukana prof",halafu tatizo hata wakiambiwa mapema kuwa "mkataba huu mbovu,hawataki,wala wakiambiwa kifungu hiki kibovu,hawataki"tumetoa wapi wataalamu hawa?
Mwanzo wa mkataba ni lini,mwisho ni lini,maslahi ya Taifa ni yapi,ya mwekezaji ni yapi?lini tutafanya mapitio kuona hali ya wakati huo kama tunahitaji kubadili baadhi ya mambo?
Wewe na Prof. Shivji, Jaji Warioba nani anafahamu sheria kuliko mwingine na kuwa na uzoefu wa kuzitumia unaompa muda...
Yaani tubadili sheria tuishi kikoloni kwenye nchi yetu kwaajili ya kumfaidisha nani?viongozi wafanye mbo yenye maslahi kwa Taifa zima kwakuwa wao siyo wamiliki wa nchi,wao ndiyo wanafanya mambo ya kuudhi halafu hatua achukuliwe anaelalamika Mali yake ina dalili za kupotea?wanaohusika WAJIBU HOJA...
Tuambieni kwamba munawashtaki,miti tunapanda kwa kujitolea,tunamwagilia kwa vidumu kama wanafunzi wa kata,leo wao wanakata bila kupanda mbadala,tena hata mbadala wanapaswa wasubiri ikue au wapande mikubwa waipepelee,ebo!.
Ndiyo maana JOHN amewapiga sana,Rais anapata wapi hela ya kutembeanayo akigawa?hata antenatal ni bora atoe kwa vikongwe visivyoweza kufanyakazi na walemavu.
Yaani akagawe hela kwa mtu aliyechagua starehe halafu mazuzu mum uone anahuruma au mpenda maskini,hamna akili wapumbavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.