Niliwahi kuripoti kituo cha polisi wiki nzima lakini hiki kituo hakikuwa halisi... Yaani kila fahamu zikinijia nilijikuta tayari nimetoka kuripoti ila sikujua kwa mashtaka gani.
🤔
Huyu ndugu kaiweka na Ngao ya jamii ndani kwa kujiamini kabisa anakwambia, Wananchi tumemaliza msimu kwa kubeba treble maara 2 mfululizo...
Upande ule wenye matumizi mazuri ya ubongo ni wawili!!
"Waafrika tuache inferiority complex, hiyo tabia ya kucheza cheza akifunga, kujiangusha, kulia Lia na refa ndio inasababisha azomewe. Hiyo fact alipewa na "Koke" ila akaishia kuitwa mbaguzi."
Pamoja na yote Ila dogo jana hakutendewa haki kabla ya kupewa umeme kuna tukio alifanyiwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.