Kweli mambo huenda yakabadilika, huyu jamaa alikataa kuwaongezea mikataba watumishi wengi kama alikua Clark of works, msemaji wa mamlaka, madereva wawili ila mmoja mahakama ilimrudishaa, IT Manager. Sasa yeye kama aliona mazuri why hataki kuzika a. Na ana kibaraka wake Rube Luhongole alikua...
Pole sana hayo Mapu.... tuaita Korodani, paka mafuta ya mzaituni (olive oil) inasaidia sana, pia hakikisha kabla kuvaa chupi unakausha vizuri maeneo hayo, pia zingatia usafi wa taulo, na utafute chupi za cotton sio zilizoandikwa Arsenal zile za mpira zinaleta joto sana
Tena kwa taalifa zaidi inasemekana alipokuwepo mkulugenzi mkuu aliestaafu mama myagi alikua jamaa hatikisiki lakini toka ameondoka anafanya madudu na huyo mama ilikua ni heli watu wa wizala wakose lakini yatima na wajane lazima kipindi hiki wapate zawadi za sikukuu zote idi na klismas
Kunabosi mmoja katika taasisi inayohusiana na usimamizi katka safali za anga ambae ni mkulugenzi wa utumishi ametoa ya mwaka kwa kukataa kutoa zawadi za noel na mwaka mpya kwa vituo vya watoto yatima na wajane badala yake akaamulu zawadi hizo wapelekewe maofisa wa wizala ya uchukuzi na hazina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.