. Huyu jamaa ni ndumilakuwili na inaonekana ana usongo na uprezidaa vibaya mno. Anasahau kwamba alianzia ujana na kuzeekea akiwa katika chama cha magamba. Suddenly baara ya kutoswa uwaziri mkuu anajifanya kama ni MMMMMPYAAAA. ANAFIKIRI UKOSEFU WA AJIRA UMEONGEZEKA KUTOKANA NA KUTOKUWEPO KWAKE...
hiyo ya ccm na wanachama wapya kawe ni uongo mtupu,jana nilikuwepo eneo lile,walikuja na watu wao kumi ,sijui hata walitoka wapi na kuwapa kadi. Na kama kawaida yao walikuja na mabasi lukuki yaliyojaa watu na magwanda yao ya kijani. Kwa ufupu wamechemsha kweli kweli, na hizo pikipiki vijana...
alikuwa anajaribu kupunguza kasi ya ukali wa maneno. Aliona chama chake kinavyovuliwa nguo. Na sio hayo tu,leo asubuhi mbunge wa nkasi nae amempasha ngeleja kwamba kwenye kitabu wanaonyesha kwamba kuna nguzo zimesambazwa,wakati katika uhalisia. Hakuna hata nguzo moja. Ngeleja na CCM yake usanii...
Kilikuwa kirusi hatari sana Chadema....wanakimbia mmoja mmoja...bora waende watuachie chadema yetu....na bado wengine watamfuata. ametangulizwa tu huyo!
kwa mujibu wa watafiti wa masuala ya ngono, more than 70% ya wanaume hahawaridhishi wapenzi wao...yawezekana inachangia ongezeko hili.. Yasemekana pia jinsia za aina moja zinatambua kwa ufasaha maeneo 'yao' sensitive....ndio maana usiombe mkeo atongozwe na msagaji na kwenda kujaribu, wakati weye...
Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo, alisema.
Hii ni kauli ya hatari sana kutoka kwa kiongozi wa kidini. Kwa literal...
Wako wapi hao watz? .....tatizo letu wabongo ni kujipa matumaini, tena wala usiseme kuhusu unaowaita kizazi cha sasa hivi...vijana wa tanzania ndio worse,wakishapata kazi yenye kamshahara cha kumtosheleza yeye na familia yake na kagari kamkopo ameridhika...tunachozungumza hapa ni kushiriki moja...
mimi nakubaliana kabisa na hofu ya ubungoubungo...lakini na sisi watanzania tumezidi kuwa walalamikaji badala ya kufanya kazi , ndio maana kila siku wenzetu wanatupiga bao tukiwa macho....tuanze na mlima kilimanjaro,si uko Tanzania? lakini kila siku jamaa wetu wakenya wanapromote sector yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.