Search results

  1. N

    Katibu wa Nishati na Madini, Eliakim Maswi asimamishwa kazi

    katibu mkuu kiongozi ndio mamlaka ya nidhamu kwa makatibu wakuu wote. Hivo pale jana Jakaya alivosema maswi anachunguzwa ndo alikua anamuagiza Sefue atekeleze
  2. N

    Kwanini Ikulu inaendelea kuudanganya ulimwengu?

    Daaah!! Upo shallow aisee...
  3. N

    Mwakyembe anavyomlinda Kijazi wa TMAZ

    Serikalini mishahara na OC ni mafungu tofauti ya fedha na kila moja lina bajeti yake iloidhinishwa na bunge kwa matumizi yake. Hivi vitu haviingiliani na hata ukaguzi wake wa hesabu ni tofauti kutegemea na jinsi zilivoidhinishwa na zilivotumika! Mishahara inalipwa na hazina moja kwa moja kwa...
  4. N

    Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

    Watu kweli wapo biased, daaah!! Sentensi ya KWANZA kabisa kwenye andiko lake amesema 'hatujashinda kesi dhidi ya CHADEMA'
  5. N

    Kibatala: Ufafanuzi kuhusu yaliyojiri katika Shauri la Zitto Vs Baraza la Wadhamini, CHADEMA

    We jamaa unafikiria vizuri. Heri ya mwaka mpya
  6. N

    UFAFANUZI: Kesi ya Zitto vs CHADEMA haijaisha mahakama kuu

    Mapovu ya nini aisee...!? Mbona jamaa kazungumza kitu kilichowazi sana, kwa ufupi hakuna jipya alosema kwani ndo hali halisi ya utaratibu uliopo (ukiachilia hilo la kusema faili lipo tayari linasubiri mhusika)! Ni vizuri kujielimisha juu ya ukweli kuliko kufata hisia
  7. N

    Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

    Jamani eleweni mfumo wa utawala ulivo. Mnyika ni mkurugenzi wa habari wa chama, ulitegemea aseme nini katika sakata kama hili?! Lazima akisemee chama kwani ndo kazi yake. Hawezi kwenda kinyume hata kama yeye binafsi kama mnyika hapendi uamuzi ulochukuliwa na chama. Huo ndo utaratibu. Mtamchukia...
  8. N

    Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

    Mnyika ni mkurugenzi wa habari wa chama. Lazima atoe taarifa ambayo cc imepitisha, yeye ndo chanzo cha mawasiliano rasmi (official communication) kati ya chama na umma. Unategemea atasema nini kwenye sakata kama hili!? Lazima aseme na kutetea nini chama kimesema hata kama yeye binafsi...
  9. N

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Hata Zitto hilo ndo alokua anataka! Ndo sababu ya kwenda mahakamani
  10. N

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Hata yeye anasema yupo tayari kung'oka ila kwa njia halali. Sio mtu anaamka tu usingizini na kusema toka ka anafukuza mtu sebuleni kwake!!
  11. N

    Kesi ya Zitto vs CHADEMA:Kuna mazingira yanaandaliwa ku-influence uamuzi wa mahakama

    Kigoma kuna wabunge wangapi wa CHADEMA!!?
  12. N

    Majibu ya Zitto kwa Kamati Kuu: Mashitaka yote sio ya kweli na sijavunja Katiba

    Ngoja tuone kama kuna mtu atakaejibu haya maswali. Maanake watz tunapenda maneno mepesi mepesi tuu
  13. N

    Majibu ya Zitto kwa Kamati Kuu: Mashitaka yote sio ya kweli na sijavunja Katiba

    Mbona ka unajichanganya mkuu!? Amewasilisha utetezi wake ndani ya chama na vilevile amekata rufaa juu ya adhabu alopewa kwa baraza kuu (ambayo ndo ngazi ya juu kama ulivosema kwenye maoni yako). Mahakamani kaenda kuweka pingamizi juu ya kamati kuu kumjadili kwa adhabu ilokwishampa tayari ambayo...
  14. N

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Kuna jamaa kasema ukiona hivo jua 'wapinzani wanashambulia sana golini'!
  15. N

    Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

    Atakwendera ruara ati ayetwekile enyo!! Hahahaaaa mazima oli mkuri
  16. N

    Mengi (WATANZANIA) Vs Prof. Muhongo (WAWEKEZAJI)

    Kwahiyo mkuu mawazo yako yanakushawishi kabisa kua kina Mengi wanawakilisha/watawawakilisha watanzania vizuri kuliko TPDC!?!!
  17. N

    Mengi (WATANZANIA) Vs Prof. Muhongo (WAWEKEZAJI)

    Asante sana. Hii ndo Profesa Muhongo anasema kila siku kwamba, "watanzania ni wavivu wa kusoma na kufatilia mambo. Wanapenda stori za vijiweni tu". Sera ya serikali ni kumilikisha wananchi kupitia TPDC (hili ni shirika la umma-la watanzania ote)! Hao mabepari wao ndo wanataka kuaminisha wananchi...
  18. N

    Mengi (WATANZANIA) Vs Prof. Muhongo (WAWEKEZAJI)

    Nakubaliana na wewe mkuu. Watanzania wengi wanaoenda kusikikiza maneno tu bila kufanya utafiti na kuongeza uelewa wa uhalisia wa mambo. Matokeo yake tunaishia kupiga stori za vijiweni!!
Back
Top Bottom