61 years lakini utafikiri yuko form 6 Weruweru! I can't believe. Yaani umri wake ni sawa na wa mamamkwe wa Magufuli, ila mke wa Magufuli anaoenekana kachoka kabisa. Watunze wake zenu.
Sawa. Nitawaeleza wadogo zako. Hata hivyo nami nimesoma kwa malengo. Multidisciplinary sioni ubaya wake. Mimi ni TAX CONSULTANT, a career which requires Accountancy and Law. Siku njema.
Hilo nalo nen. Kubwa linalonifanya nipende mabadiliko ni mustakabali wa wanangu. Kwa hali yangu, ninapata kipato cha kati (ingawa hakilingani na jitihada), ila hofu yangu ni wasiwasi wa maisha ya wanangu na wajukuu baada ya kifo changu.
Mzee wa Mazungumzo Baada ya Habari (MBH) cha RTD. Nakumbuka alivyotunanga tarehe 12 Mei 1990 UDSM ilipofungwa kwenye MBH iliyopewa kichwa LY (Last Year). Alisema LY katika shule yao walikuwa nabvituko vingi, lakini kimojawapo ni kuvaa nguo ya ndani kichwani. Sasa anawaona kila LY halisi. Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.