Lucy? na Poda? ndio wanasababisha mnatesa maelfu ya WATANZANIA. Mna roho za wanyama nyie. Hizi ni nyakati za mwisho watu watakuwa ni wenye kupenda pesa na upendo wa wengi utapoa-Mnatimiza unabii. Hata Wayahudi waliomuua Kristo walijiona wanahaki. Mungu awasamehe na awasaidie.
Watapata tuu mkopo, majina yaliyotolewa na bodi ni ya kupitia TCU na siyo NACTE. Kuna mkanganyiko kati ya hizi taasisi mbili ila cha msingi ni kuwa utapata maake na sisi tumepitia huko huko lkn tumepata.
Dr opulukwa wa Chadema ambaye amewania ubunge jimbo la meatu kwa miaka mingi, hatimaye hivi punde ametagazwa kuwa mbunge mteule wa jimbo hili. Ameibuka kidedea baada ya kumbwaga ndg. JAMBO wa ccm ambaye ni mfanya biashara maarufu wa mjini shinyanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.