Nimepata chimbo ilo nachukua vicks lotion mkongo bei cheee mimi naziuza kwa buku tano
Ukweli kwa siku napata hata zaidi ya 30k
Wateja wengi huwa ni wa online
Kwa ufupi niliichoka ile kazi niliyokuwa nikiifanya, pia kupitia changamoto za kuajiriwa nikasema sitaki tena kuajiriwa
Kipindi naacha nilikua na laki nne tu ambayo ilidumu kwa mwezi mmoja tu, nimetaabika sana ila nimekuwa imara zaidi
Ilipelekea nikaingia mtaani nikawa mzururaji mwenye faida...
Nawapongeza watani zetu, ingawa roho inauma kwa mafanikio ya soka lenu lilivyokua kwa kasi
Kwenye ushabiki nitasema nyinyi ni wabovu ila mbungi ikipigwa nakubari kuwa mlijifunza kutoka kwa 🦁 na mmeongeza kitu zaidi
Mwakani naamini chama langu SIMBA litafanya mabadiriko, nasi tutaonesha...
Kwanza Shirki zipo aina mbili; shirki kubwa na shirki ndogo.
1-Shirki kubwa inamtoa mtu nje ya Uislamu, ‘amali zake zote zinaporomoka, mwenye kumshirikisha Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kwa shirki kubwa huwa ni halali damu na mali yake na ni mwenye kudumu Motoni ikiwa hatotubia kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.