Mjini shule, huko kijijini ni kuandaa kaburi lake, Mama yupo sahihi, nje ya myumba aweke mkaa, ice cream nyanya ni hela tu, kijijini kuni, nyanya, na kandili
basi mm hapo Azam tv ndio nililala kabisa niliamshwa magoli yalipoingia na pale waliposifia maua lkn ningejua Upwete yupo TBC ningehamia huko nisingelala
huyu jamaa nimempenda sana, ingawa si mwarabu wala sio wa Dini hiyo, lkn anachangamsha, ningeshauri achaneni na station za bure km TBC tafuteni Channel za kulipia ambapo unachagua lugha mwenyewe, mm jana fainali nilikuwa Azam kiswahili mpaka nikalala mtangazaji kapoa mpaka muwe zaidi ya wawili...
acha hasira basi, km hutaki wasomi jaribu wa kijijini wasiomsliza la 7 upate amani, hao unaowananga ni mama zako waliokuzaa, ni manesi, mawaziri, usimtazame bata kuharisha kwake,
ukikua utaacha, sisi wahenga tumetoka huko hebu nitafutie mwanachuo km ww kakukataa
kisiwa cha Uingereza kimeunganishwa kwa daraja la chini kwa chinj, meli hazitaingiliwa njia zake, wanaweza fika hapo wakaweka hata daraja refu zaidi km myo Themes huko London
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu asante kwa ushauri, Steam wamenibana hadi leo nililipia hata nlipopata PC nikawaona hao, naona ni address zangu, ipo local C naona ndio sababu nikaichukia,
je niki delete hi Steam naweza kurudi mchezoni?
Mwanamke akijua yupo peke yake kwenye usukani, basi atakushusha popote (mchezo hupewi) na anaweza hata tafuta kiserengeti au kibopa.
Mwekee wanawake /mwenzake au usimuoneshe mali zako, lazima atazidisha kukupa penzi lote.
Fuatilia Delillah wa Samson hakua mchoyo alimloga jamaa.
judithkaunda hapo...
Nakuunga mkono MAHAMED Said kiswahili fasaha ni kutuza, na ni kweli kabisa timu zetu enzi zetu zilitumia majina ya timu za bara Ulaya, Dodoma tulikua na timu inaitwa Dundee na ilivuma kote Nchini miaka ya 1976
Mimi dalali tu Mkuu na hizo namba ni zake kaniomba nimtangazie,
Labda ningesema mwenye namba hizo anauza gari kapata safari za nje haraka blah blah na nauli ya ndege.
Wakati wa kujibu angalia masharti ya jukwaa Admini kasemaje? Namna ya kutangaza matangazo haya.
Gari ya kisasa Harrier New model inauzwa ni nzima kabisa.
Piga 0754-394195 chap uichukue bei 65m maelewano yapo,
Year of manufacture 2015
Odometer km 23670
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.