Nimekataa tiketi ya Mwanza kuandikiwa muda wa kuanza safari ni saa kumi na kuripoti ni saa tisa na nusu ila mpaka saa kumi na mbili bus halijaingia Mbezi yaani ni shida na usumbufu mwingi na hakuna anayeshughulika na sisi yani kama watoto yatima
kabla ya kumlaumu MUNGU ni vyema ukamshukuru hata kwa akili,maarifa ,uzima, utashi, ufahamu n.k alivyokujalia vinavyokupa kibuli, jeuri ghazabu, chuki n.k. Si kila mwanadamu ana akili/ufahamu/utashi/ufahamu n.k kama zako je wewe ungekuwa kama wao ingekuwaje. yako maswali ambayo sisi binadamu...
Natafuat recycled paper kwa ajili kutoa copy za mitihani nahitaji kwa katoni. Hii ni baada ya bei ya karatasi za kawaida kuwa juu kiasi cha kushinda kuendesha biashara hii. Aina ya karatasi ni A4 plain pia kama una ushauri wowote wa upatikanaji wa karatasi nisaidie na uwezo wangu ni mdogo kwa...
je wewe kwanini umepost leo, kwanini hukupost wakati aliosema? umesubiri KAKOBE awe gunzo ndiyo upost? pia tambua kuwa watu wanaokoment wako wanaofikiri kasema hivi karibuni pia angalia mwelekeo wa post, je zinajenga hau zinabomoa? wako wanaomsifu, wako wanaomkashifu au kutukana nayote haya ni...
ndugu hiki unachokifanya ni udanganyifu hii uliyoweka ni ya miaka ya nyuma na unapoiweka leo lengo lako si zuri vinginevyo taja hii ni ya lini maana kila siku anayohubiri KAKOBE kunarekodiwa na rekodi zote zipi. ACHA KUTAFUTA UMAHARUFU pia TUBU MAANA HAPA UMETENDA DHAMBI
ninavyo fahamu mimi kila chama kinakaguliwa na CAG vile vile vyama vyingi (vyenye wakilishi Bungeni) vinapata RUZUKU na sijawahi ona humu kukitolewa ufafanuzi juu ya matumizi yake. Ni vizuri kama una hoja ya msingi peleka kwa CAG Naamini ataifanyia kazi hasa zama hizi za hapa kazi tu vinginevyo...
mimi nimelipia ada ya maombi shilingi 30,000/- kwa M-PESA na kupokea meseji "4H81RUM0T3 IMETHIBITISHWATsh 30,000.00 imetumwa kwa HESLB kwenye akaunti namba 991110005264 tarehe 8/8/2017 saa 10:45 AM.
lakini nilipojaribu kujiunga sikufanikiwa naambiwa sijalipa kama ujumbe unavyosema hapo chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.