Nimepita maeneo ya Mtava muda si mrefu nimeona magari ya fire yanaelekea huko..
===========
Later on..
DAR: Moto mkubwa unawaka katika kiwanda cha matairi cha Super Doll kilichopo barabara ya Nyerere. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika na juhudi za kuuzima zinaendelea.
Taarifa zaidi...
Nadhan kuna maboresho/marekebisho yanafanyika kwa sasa, maana hata ile mikeka ya kukusanyia madeni haionekani barabarani sasahivi.
Kuna uwezekano mfumo wao ulikuwa linked na TRA maana toka kufutwa kwa hii kitu sijaona tena wakiweka na mikeka yao, naiman kuna marekebisho yanakuja
Sent using...
Tanesco mnatakiwa kujirekebisha kwa kweli! Mm nimelipia gharama ya kufungiwa umeme nyumbani kwangu tangu december mwaka jana hadi leo hii kila nikienda ofisini kwenu napigwa kiswahili tu kuwa nguzo hakuna na wanahudumiwa watu wa miezi ya nyuma kwanza...eneo langu linahitaji nguzo mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.