Awali ya yote nitoe pongezi kwa Prof: A Mkenda Kwa kuona moja ya tatizo hili katika mfumo wa elimu yetu... ( Ukiachilia mbali sera mbovu, mitaala isiyoeleweka na inayobadilika kutokana na utashi wa kisiasa wa serikali inayokuwa madarakani Kwa wakati husika, miundo mbinu duni ya kufundishia na...
Nina ufinyu wa uelewa juu ya chama hiki kipya cha walimu CHAKUHAWATA ( Chama cha kutetea Haki za Walimu Tanzania) ambapo ni chama mwenza cha CWT.
Natamani kujuzwa.
Mosi: katiba yao inapatikanaje?
Pili: Nafahamu ni chama kipya, sio rahisi Sana kuwa na ofisi kila wilaya kwa sasa, vipi kuhusu...
Salaamu... kama kichwa cha habari kinavyojitanabaisha, kwa wataalamu wa soft ware mnisaidie. Simu yangu nikiwasha data tu inajilistart, nimei format na kufanya restoration mara kadhaa lakini still tatizo lipo palepale.Naomba msaada wa mawazo tatizo nini na linatatuliwaje wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.