Sio kweli, Mayele aliagwa vzuri sana na Uongozi wa Yanga na mashabiki
Feisal..... Kila tukikaribia mechi kubwa ya ligi alikuwa analeta drama,tuna shukuru "paka lilijificha ila kia lake lilionekana"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Azam companies ifike mahali wajue Kuna ukomo wa...
Mzee wetu, Mohamed Said, kuna platform yeyote ilipo historia uliyoandika (documents, audio or visual) inayohusu Palestine na mzozo wake Middle East?
Mimi natamani kujifunza, kama naweza kupata darasa lako nitashukuru,
NB: Mimi ni mwanafunzi wako kwenye jukwaa hili,Asante!
Watu hatujui tu, moja ya mistake vijana tunaifanya ni kupuuzia mazoezi hasa ya jogging,,
Unakuta hata pumzi ya kitandani inakata, unadhani unaupungufu wa nguvu za kiume kumbe ni mazoezi na kula vizuri umekosa...
Kila kitu kinaweza kuwa na - impacts and + impacts, sikatai
Jogging ni mazoezi yenye faida zaid (hamna kiungo cha mwili hakihusiki) kuliko negative impacts zake, hasa kipindi hiki ambapo ulaji wetu wa vyakula ni artificial.
Sasa ukiona jambo linafaida zaid kuliko hasara, huwezi kuzungumzia...
Huyo Mtoto ni wako, Sema tu ulizaa na kichaa ,
pia naona wamekuona wewe mpole Sana au kiutani boya flan hivi siku akileta hizo pigo zake mtie makofi akae kwà adabu
Ni kweli Kuna viongozi wanaweza kuifanyia hivi nchi Yao! Real..... Hata hofu ya Mungu hawana kabisa ukiachilia mbali uzalendo.
Kinga ya rais iondolewe, ikibidi akitoka madarakani anyongwe kama sio kufungwa
Awali ya yote nitoe pongezi kwa Prof: A Mkenda Kwa kuona moja ya tatizo hili katika mfumo wa elimu yetu... ( Ukiachilia mbali sera mbovu, mitaala isiyoeleweka na inayobadilika kutokana na utashi wa kisiasa wa serikali inayokuwa madarakani Kwa wakati husika, miundo mbinu duni ya kufundishia na...
Binafsi ....Waziri Bashe ni moja viongozi wachache waliopo CCM ninaowakubali ( ni presidential material), mradi wa BBT afanye awezalo usiwe na dosari na usi fail ... Ni mradi utakao mwinua au kumdondosha kisiasa! All the best H.Bashe
Najaribu kuwaza, inaonekana Mwl-Nyerere balaza lake la mawaziri lilikuwa ruber stamp yake,yaani jambo lolote yeye personal anakuwa ashalifanyia maamuzi anaenda kwenye baraza huku maamuzi anayo mfukoni. Ni kama alikuwa anaongoza maiti hai!
Huwa na tafakari Sana, namna alivobeba mfumo wa sera za...
Nakubaliana na wewe, sisi Watanzania ni fools, ignorant and stupid never happened before .....
1. Ripoti imetoka ,watu tupo tupo tu hatujui hata cha kufanya, ni bla bla tu na manung'uniko after few days tumesahau yote, tunasubili ripoti nyingine mwakani ya kupigwa tena.
2. Watanzania sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.