Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania, amesema kuwa, suala la kutekwa nyara kwa mfanyabiashara mashuhuri wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji mashuhuri kwa jina ‘Mo’ limeacha maswali mengi kwa wananchi ambayo yanahitaji majibu hivyo jeshi la polisi liwaeleze Watanzania kwani si wajinga sana...
Washambuliaji wawili walinaswa na camera za CCTV wakiingia kwenye jengo la hoteli
Watu tisa wametiwa mbaroni kuhusiana na shambulio dhidi ya hoteli ya kifahari mjini Nairobi, Kenya ambapo watu 21 waliuawa.
Washambuliaji wote watano waliyovamia hoteli ya DusitD2 na majengo yaliyokuwa karibu na...
Mwazilishi wa Hekalu la shetani Lucien Greaves anasea kuwa ishara ya kundi hilo inatumika vibaya.
Kundi la wanaharakati wa hekalu la shetani linawashtaki watengenezaji wa kipindi cha msururu cha runinga -The Chilling Adventures of Sabrina kwa gharama ya $50 million (£38m) kutokana na sanamu...
Tanzania imeingia lawamani kwa hatua yake ya kubadili utaratibu wa utoaji wa viza kwa baadhi ya nchi ikiwemo Nigeria.
Hivi karibuni, serikali ya Tanzania kupitia idara yake ya Uhamiaji ilitoa muongozo wa kubadili kutolewa kwa vibali vya kuingia nchini humo yaani viza.
Baadhi ya raia wa nchi...
John John Mnyika
Naibu Katibu Mkuu Bara
Mbunge wa Jimbo la Kibamba
27/6/2017
"Rais John Pombe Magufuli asingeishia kuwaaga waliokuwa wafanyakazi PDB, na badala yake amwagize CAG afanye ukaguzi ufisadi Ofisi ya Rais PDB"
Rejea Miaka ya nyuma akitaka kutoa shilingi Bungeni juu ya ufisadi mkubwa.
John John Mnyika
Naibu Katibu Mkuu Bara
Mbunge wa Jimbo la Kibamba
27/6/2017
*"Rais John Pombe Magufuli asingeishia kuwaaga waliokuwa wafanyakazi PDB, na badala yake amwagize CAG afanye ukaguzi ufisadi Ofisi ya Rais PDB"*
Rejea Miaka ya nyuma akitaka kutoa shilingi Bungeni juu ya ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.