Search results

  1. ze big

    Vodacom kuunga wateja wake huduma ya mdundo bila mteja kuridhia

    Habari wadau. Kumekuwa na mtandao wa vodacom Tanzania kuunga wateja wake kwa kuwabambikia huduma ya mdundo na kupelekea kukata watu salio la muda wa maongezi. Hii huduma binafsi nimekuwa nikiungwa pasipo kujiunga kwa zaidi ya mwaka sasa nikiwasiliana na hao huduma kwa wateja wanadai...
  2. ze big

    Uzi maalum wa kujuzana maeneo ya starehe kwa gharama nafuu

    Habarini wadau nimeona nianzishe uzi huu kusaidia watu tuweze kujuzana maeneo ya starehe yanaweza kuwa mapya au yazamani ila muhimu ni kwamba yawe ya gharama zinazowafaa watu wa kawaida na wa uchumi wa kati. Maeneo haya yanajumuisha; sehemu za kulala, Bar maarufu zilizo changamka, Maeneo mapya...
  3. ze big

    Msaada maji taka yanatiririka katika makazi ya watu

    Habari wanajamvi nahitaji kupatiwa msaada ni nini hasa nifanye kisheria kudhibiti utiririkaji wa maji taka katika eneo la makazi yangu. maji hayo yanatoka katika kambi za jeshi. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ze big

    Ushauri wangu kwa watumishi wa umma

    Habarini wanajamvi. Nimejitokeza baada yakusikia watumishi wa umma wakilalamika maisha magumu na pia wakilalamika hawatendewi haki. Naombeni niwashauri kitu ndugu zetu. Hiki ni kipindi cha mpito hiki ni kipindi ambacho iga dili wataumia sana na waliokua wakiteseka watafaidimatunda ya matendo...
  5. ze big

    Majengo sekondary - Moshi tukutane hapa

    Habarini wana jamvi. Kwa wale waliosoma majengo secondary moshi mjini hebu tukutane hapa tuendeleze ummoja wetu
  6. ze big

    Kero ya kingo za barabara Mwenge - Mpakani

    Habarini wana jamvi. Kwanza niupongeze uongozi wa jiji kwa kujitahidi kutunza mazingira kwa kuweka kingo za barabara ili kuzuia wapita kwa miguu wasikanyaje maua na majani yanayootesha kati kati ya kingo hizo. Kero yangu ipo pale ambapo wawekaji wa kingo hizi wanapoweka pasipo kuangalia...
  7. ze big

    Wanaume tupimwe akili

    Zawadi ambazo MWANAUME humzawadia MWANAMKE: 1. Nyumba 2. Gari 3. Duka/biashara 4.Simu 5.Mikufu pete na vito vya thamani Zawadi ambayo MWANAMKE humzawadia MWANAUME: 1. Vest 2. Boksa 3. Saa 4. Magonjwa Wanaume Tupimwe akili [emoji3][emoji23][emoji23] by Donald Trump
  8. ze big

    Wenye vitambi kutaneni hapa

    Habarini wadau. Nimeona nianzishe uzi huu ili kusaidia wanaume na wanawake wenye tatizo la kitambi yaani tumbo kubwa lenye mafta mafta ili muweze kushauriana namna yakukipunguza kama sio kukitokomeza kabisa kama dengue. Hebu shaurianeni hapa ili kuboresha afya ......
  9. ze big

    Mwanasheria aliyeishtaki Israeli

    Kutana na Dola Indidis, mwanasheria aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a theological thing" Yeye anachoangalia si unabii bali legal procedure. Pia amesisitiza ameamua...
  10. ze big

    Unene wa mke wangu unamuweka matatani

    Nilifanikiwa kupata mwenza wa maisha (kuoa) mnamo mwaka 2006 kipindi ninaoa mimi nilikua na uzani wa kilo 50 na wife alikua na kilo 42 maisha yalisonga tukapata mtoto wakwanza. Wife alijifungua normal kabisa na tukalea mtoto wetu wa kwanza wife alikua na kilo 44 mpaka mwanetu anafikisha umri wa...
  11. ze big

    Tangazo la njileee la tigo pesa

    Nimekua nikilisikiliza hili tangazo kwa mda mrefu mara nyingi limekya likitangazwa kwenye stesheni ya Clouds fm. Kwa upande wangu ninaollipenda sana hili tangazo si kwa sababu ya tigo pesa la hasha bali ni kwa kuelezea uhalisia wa baadhi ya dada zetu wanaopenda vitu vya bure bure kama kupanda...
  12. ze big

    Mnawezaje kudumu na hawa ndugu zetu?

    Habari wana jamvi. Nimekua nikishangaa kila siku katika haya maisha kuanzia nmekua na akili yakuwatamani hawa wanawake. Nina zaidi ya miaka 35 lakini nimebakia kuwa mshangaaji inakuaje wanaume wenzangu mnaweza kudumu na wanawake kwenye mahusiano kwa mda mrefu!!! Mnawezaje kuhimili kero za kila...
  13. ze big

    Ujenzi bora wa ukuta

    Habari wana jamvi. Leo nimeona niwashirikishe jinsi yakujenga ukuta ulio imara ili kuepuka hasara zitokanazo na kuboka kwa ukuts itakayopelekea kupoteza pesa zetu. Kwanza kabla ya kujenga ukuta wowote lazima uhakikishe una plan za ujenzi na uweze kufanya uchunguzi wa ujenzi na gharama zake...
  14. ze big

    Foleni ya mataa ya ubungo kutokea riverside

    Habarini wana jamvi. Mimi ni mmoja wa waathirika wakuu wa foleni ya ubungo kuanzia ricerside kwenda mataa kama unaelekea mlimani city. Napenda kusikia kutoka kwenu je ni kweli foleni hii ni kubwa kiasi cha kusababisha msongamano wa aina hii au ni wahusika kutoipa kipaumbele. Nimekaa dakika 40...
  15. ze big

    Kwa wanaoifahamu Nissan Dualis

    Habarini wana jamvi. Nimekua nikivutiwa sana na gari hii nissan dualis ningependa kupata uzoefu kwa wataalam kuhusu uwezo wake na ubora kwa ujumla. Na kwa mwenye nayo anaionaje kwenye nyanja ya comfortability.
  16. ze big

    Watanzania pombe tunazokunywa zinarahisisha sana kazi za wapelelezi

    Habari wana jamvi nimefanikiwa kupita maeneo ambayo vilaji au pombe zinauzwa kwa wingi. Nilichogundua ni watanzania wengi tunaongea mambo mengi ya siri tukilewa nimepata kushuhudia mtu kama wakili tena anaesimamia kesi nzito sana anaropoka ushahidi akiwa bar. Je hii ni kutokana na stress...
  17. ze big

    Ujio wa Mobile Plaza ni mkombozi kwa watanzania waliokuwa wakiteseka kununua simu used au feki

    Habari za mda huu wana jamiii. Juzi niliona tangazo kuhusiana na Mall mpya iliyofunguliwa pale kariakoo ambayo ndani yake kuna maduka zaidi ya mia moja yanayohusika na uuzaji wa simu Original pamoja na maduka ya watoa huduma kama Vodacom na Halotel. Kiukweli nilipata fursa yakuzunguka kwenye...
Back
Top Bottom