Habari wadau.
Kumekuwa na mtandao wa vodacom Tanzania kuunga wateja wake kwa kuwabambikia huduma ya mdundo na kupelekea kukata watu salio la muda wa maongezi.
Hii huduma binafsi nimekuwa nikiungwa pasipo kujiunga kwa zaidi ya mwaka sasa nikiwasiliana na hao huduma kwa wateja wanadai...
Habarini wadau nimeona nianzishe uzi huu kusaidia watu tuweze kujuzana maeneo ya starehe yanaweza kuwa mapya au yazamani ila muhimu ni kwamba yawe ya gharama zinazowafaa watu wa kawaida na wa uchumi wa kati. Maeneo haya yanajumuisha; sehemu za kulala, Bar maarufu zilizo changamka, Maeneo mapya...
Habari wanajamvi nahitaji kupatiwa msaada ni nini hasa nifanye kisheria kudhibiti utiririkaji wa maji taka katika eneo la makazi yangu. maji hayo yanatoka katika kambi za jeshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wanajamvi. Nimejitokeza baada yakusikia watumishi wa umma wakilalamika maisha magumu na pia wakilalamika hawatendewi haki. Naombeni niwashauri kitu ndugu zetu. Hiki ni kipindi cha mpito hiki ni kipindi ambacho iga dili wataumia sana na waliokua wakiteseka watafaidimatunda ya matendo...
Habarini wana jamvi.
Kwanza niupongeze uongozi wa jiji kwa kujitahidi kutunza mazingira kwa kuweka kingo za barabara ili kuzuia wapita kwa miguu wasikanyaje maua na majani yanayootesha kati kati ya kingo hizo.
Kero yangu ipo pale ambapo wawekaji wa kingo hizi wanapoweka pasipo kuangalia...
Zawadi ambazo MWANAUME humzawadia MWANAMKE:
1. Nyumba
2. Gari
3. Duka/biashara
4.Simu
5.Mikufu pete na vito vya thamani
Zawadi ambayo MWANAMKE humzawadia MWANAUME:
1. Vest
2. Boksa
3. Saa
4. Magonjwa
Wanaume Tupimwe akili [emoji3][emoji23][emoji23]
by Donald Trump
Habarini wadau. Nimeona nianzishe uzi huu ili kusaidia wanaume na wanawake wenye tatizo la kitambi yaani tumbo kubwa lenye mafta mafta ili muweze kushauriana namna yakukipunguza kama sio kukitokomeza kabisa kama dengue. Hebu shaurianeni hapa ili kuboresha afya ......
Kutana na Dola Indidis, mwanasheria aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a theological thing" Yeye anachoangalia si unabii bali legal procedure.
Pia amesisitiza ameamua...
Nilifanikiwa kupata mwenza wa maisha (kuoa) mnamo mwaka 2006 kipindi ninaoa mimi nilikua na uzani wa kilo 50 na wife alikua na kilo 42 maisha yalisonga tukapata mtoto wakwanza. Wife alijifungua normal kabisa na tukalea mtoto wetu wa kwanza wife alikua na kilo 44 mpaka mwanetu anafikisha umri wa...
Nimekua nikilisikiliza hili tangazo kwa mda mrefu mara nyingi limekya likitangazwa kwenye stesheni ya Clouds fm. Kwa upande wangu ninaollipenda sana hili tangazo si kwa sababu ya tigo pesa la hasha bali ni kwa kuelezea uhalisia wa baadhi ya dada zetu wanaopenda vitu vya bure bure kama kupanda...
Habari wana jamvi. Nimekua nikishangaa kila siku katika haya maisha kuanzia nmekua na akili yakuwatamani hawa wanawake. Nina zaidi ya miaka 35 lakini nimebakia kuwa mshangaaji inakuaje wanaume wenzangu mnaweza kudumu na wanawake kwenye mahusiano kwa mda mrefu!!!
Mnawezaje kuhimili kero za kila...
Habari wana jamvi. Leo nimeona niwashirikishe jinsi yakujenga ukuta ulio imara ili kuepuka hasara zitokanazo na kuboka kwa ukuts itakayopelekea kupoteza pesa zetu.
Kwanza kabla ya kujenga ukuta wowote lazima uhakikishe una plan za ujenzi na uweze kufanya uchunguzi wa ujenzi na gharama zake...
Habarini wana jamvi. Mimi ni mmoja wa waathirika wakuu wa foleni ya ubungo kuanzia ricerside kwenda mataa kama unaelekea mlimani city. Napenda kusikia kutoka kwenu je ni kweli foleni hii ni kubwa kiasi cha kusababisha msongamano wa aina hii au ni wahusika kutoipa kipaumbele. Nimekaa dakika 40...
Habarini wana jamvi. Nimekua nikivutiwa sana na gari hii nissan dualis ningependa kupata uzoefu kwa wataalam kuhusu uwezo wake na ubora kwa ujumla. Na kwa mwenye nayo anaionaje kwenye nyanja ya comfortability.
Habari wana jamvi nimefanikiwa kupita maeneo ambayo vilaji au pombe zinauzwa kwa wingi. Nilichogundua ni watanzania wengi tunaongea mambo mengi ya siri tukilewa nimepata kushuhudia mtu kama wakili tena anaesimamia kesi nzito sana anaropoka ushahidi akiwa bar.
Je hii ni kutokana na stress...
Habari za mda huu wana jamiii. Juzi niliona tangazo kuhusiana na Mall mpya iliyofunguliwa pale kariakoo ambayo ndani yake kuna maduka zaidi ya mia moja yanayohusika na uuzaji wa simu Original pamoja na maduka ya watoa huduma kama Vodacom na Halotel. Kiukweli nilipata fursa yakuzunguka kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.