Umewahi kufukiria hili? Mtu Mme na mtu Mke wananfunga ndoa kwa hiari kisha wanajaliwa mtoto Mwanamme. Baada ya muda Mtoto anaamua kuoana na mama yake na kwapamoja wanampeleka kusikojulikana baba wa mtoto ili mama na mwanae waponde raha!!! Asubuhi imefika Watanganyika. Amekeni msisinzie.
Jumamosi jioni Mh. Kombani alisikika kupitia Television ya Taifa akisema kuwa Serikali ime fanyia kazi maoni yaliyotolewa na wadau kuhusu Muswada wa sheria ya mapitio ya katiba 2011 na kwamba serikali inatarajia kuupeleka muswada huo Bungeni kwa MARA YA PILI. Napenda kuamini kuwa ulimi wa Mh...
Nimeshangazwa na kauli kali ya Mh. Bernard Membe kuhusu BAE kutaka kurejesha change ya radar takribani £ 29.5M kupitia asasi zisizo za kiserekali badala ya kuzirejesha serikalini. Kupitia kauli yake, Mh. Membe anataka tuamini kwamba serikali yetu iliibiwa/ilihujumiwa wakati wa transaction ya...
Watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa. Maarifa yanatusaidia kupambanua mambo na kuweza kuiona shillingi katika nyuso zaka zote mbili. Maarifa yanatusaidia kufanya maamuzi katika nyanja mbali mbali za maisha baada ya kufanya uchambuzi wa matoeo ya maamuzi yetu kwa siku za baadaye. Shigongo na...
Inafahamika kuwa Chama chetu kina utaratibu wakusomba watu kwa Fuso kutoka maeneo mbali mbali ili kuwaghilibu wakubwa kuwa kinakubalika kwa wananchi. Hata hapa Mbeya umetumika utaratibu huo huo. Kigumu Chama Cha Mapinduziiiiii!
Kuwalaumu Wateule wa JK kwa serikali yake kushindwa kukidhi matarajio ya wana wa nchi si haki hata kidogo. Hii ni sawa na Mama mwenye nyumba kulalamika kwa majirani kuwa uchafu wa nyumba yake unasababishwa na uzembe wa house girl. Hiki kitakuwa kichekesho cha karne. Kama house girl ha-perform...
Sitaki kuamini kama Pinda alimaanisha alichokisema. Nionavyo mimi ni kama vile alikuwa anafurahisha baraza mithili ya tamthiliya ya Jiji na Wamachinga.
Nyantella,
You know what? Indeed you are out of planet earth. Actually you are kind of trying to sing the theme song of all those are threatened by what active citizens are capable of doing - those who would like to see citizens of this country living in darkness without knowing what is...
Kukowapi kujiamini kwa JK?? Analalamika ili aonewe huruma au??? Nadhani hotuba hii itaingia katika historia ya hotuba mbaya kupata kutolewa na viongozi wa kitaifa tangu tupate uhuru. Mungu ibariki Tz; Mungu ibariki Afrika.
Do Santos! Nani aliyekuloga?? Au umetumwa?? Suala la Dowans halihitaji elimu ya chuo kikuu kulielewa. Elewa kuwa makosa mawili hayaweze kufanya jambo kuwa halali. Dowans ilirithi mikoba ya Kampuni ya kitapeli ya Richmond. Kwa kuwa Richmond haikuwahi kuwa halali (ilikuwa kampuni hewa) ni jambo la...
Wapendwa nawaandikia ili msidanganyike. Sulaiman Mohammed Yahya Al Adawi hajawahi kuwa na si mmiliki wa Dowans. Ujio wake ni simema iliyopangwa kwa ustadi mkubwa ili kutuhadaa na hatimaye tuingie mkataba mwingine fake wa kununua umeme wa Dowans hata baada ya kuwalipa fidia. WaTZ tuweke msimamo -...
Ewe Anold! Ni nani aliyekuloga? Au umetumwa! Hivi kweli kwa akili ya kawaida kabisa huwezi kuona kama hili ni igizo? Huyu jamaa kapandikizwa na hata presentation yake imeandaliwa na Mafisadi wanaoogopa hasira ya umma!! Amka Kaka
Tukio hili linaweza lisiwe ajali kama tunavyofikiria. Inaweza kuwa mkakati wa makusudi wa kuondoa fikra za Watanzania kwenye kujadili mambo ya msingi kama scandal za ufisadi (Dowans) na mustakabali wa katiba mpya na kutupelekea kujadili matokeo ya milipuko ya mabomu.l
Tukio hili linaweza lisiwe ajali kama tunavyofikiria. Inaweza kuwa mkakati wa makusudi wa kuondoa fikra za Watanzania kwenye kujadili mambo ya msingi kama scandal za ufisadi (Dowans) na mustakabali wa katiba mpya na kutupelekea kujadili matokeo ya milipuko ya mabomu.l
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.