Ona mjinga huyu nilisha sema hujui kitu kuhusu udsm.uliza cc wenye udsm tukuelekeze acha kupotosha watu.unaposema ufahuru b specific .unamanisha katika kitivo kipi? Alikuambia duce au Muce kuna engineering au environmental health science nani? Na hiz ni sehemu ya koz ambazo zipo main campus...
Mtoa mada inaelekea hujui chocho kuhusu chuo na udsm in particular kaa kimya .huwez ulizwa umesoma chuo gani ukasema Muce au duce hapa hujaelewA swali.Acha dhalau hapo unaonyesha jinsi ulivyo na IQ ndogo kiasi cha nusu KB
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.