mpotoshaji mkubwa ww mi nilikuwepo msibani hapo ni wakati mchungaji anaomba wote tulisinzia . ukome na ukome na ukome kwa uongo . ukirudia uongo wako Mungu akushughulikie
Escro !!! Twiga kupanda ndege !!! na utuambie baada ya fisadi Lowasa kutoka ccm yamebaki mafisadi mangapi huko ccm ? usitutie ujinga wewe sisi tunajua cha kufanya hatuhitaji maelekezo yako
Mi ni mhudhuriaji wa misiba mara nyingi kwenye msiba kuna wanaolia na kuna wanaocheka na huwezi kuzuia hayo msibani na huwezi kulazimisha watu walie ama unavyolia au wacheke kama unavyocheka muhimu mtu akishakufa amekufa story zinaendelea acha watu waseme wanayosema maana kwenye misiba ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.