Khaaaa! Jamani humu watu mnaulizana maswali hata yale hayahitaji kwenda shule! Bunge la JMT sio la chama, kwa mantiki hiyo unataka kuniambia hata CDM sasa ni CCM? Jamani upotoshaji sio msingi wa ujenzi wa nchi. Be realistic and consider truth
Na Daniel Mjema, Mwananchi
Wiki iliyopita kulikuwa na uchaguzi ndani ya Chadema ulilenga kuwapata viongozi wa Kanda ya Kaskazini lakini ukahirishwa ghafla na siku ya mwisho.
Kuahirishwa kwa huo, licha ya kunaonekana kama ni tukio la kawaida kulizingira na mambo mengi yaliyojificha nyuma ya...
Naani kakudanganya wewe? Kuna Saikolojia ndogo tu! Mtu mweupe siku zote huwa napiga kelele ili watu wajue yupo. Kiukweli hana chochote zaidi ya kujaa upepo na wasijua kujaa upepo wakidhani anajenga hoja. Duu, ama kweli wajaa upepo wanaweza potosha njia wakijua wao wanataka nini na wanajua nguvu...
Mkaruka, dhana hii si ya kiungwana kabisa, wamepewa kazi ya kufanya waache wafanye kazi yao. Takwimu ni msingi wa kazi za utafiti. Wafanye utafiti wao, waeleze wananchi hali ya uchumi ilivyo. Imani yangu wapo vizuri kazi hiyo ya kitafiti wanaiweza. Ndiyo maana wamepewa jukumu la msingi la kutoa...
"Kimla, Naamini hilo ni jukumu lao la msingi kuandaa na kutekeleza sera ya fedha na majukumu mbalimbali ikiwa ni Benki ya Taifa ili waweze kujenga mfumo wa fedha ulio imara na unaofaa kwa ukuaji endelevu wa uchumi wa taifa. Subira yavuta heri inshalah watatimiza wajibu wao.
Hii sasa basi, watu wamezidi mno kuwa wasanii, kwanini ughushi taarifa zako kama unafanya mambo yako au kazi zako kihalali?
Naungana na Msemaji aliyesisitiza ".........wale wanaohisi waliwasilisha nyaraka zao na kuona kwamba zina utata kuja kuzirekebisha na watakaobainika kuwa walighushi...
Nijuavyo mimi, wanafunzi ambao hawajali muda wa kusoma wanakuwa na mambo yao, wanajaribu kuweka uongo wake ili kufurahisha uzembe wanapokuwa kukata kitabu ili baadae waweze kuwahadaa wazazi na walezi wao. Hapana, kwenye ukweli ni lazima tuwe wa kweli. Utaratibu wa kulipa ada katika chuo hicho...
zaidi ya hayo, ona sasa ilivyokaa na wanafunzi ambao hawajali muda wa kusoma wanakuja na mambo yao, anajaribu kuweka uongo wake ili kufurahisha jukwaa. Hapana, kwenye ukweli ni lazima tuwe wa kweli. Utaratibu wa kulipa ada katika chuo hicho ninavyofahamu mimi unafuata utaratibu ufuatao:
i...
Yametimia, jamaa wamechomoa, wamekimbia kuwaambia wananchi kuwa walichemka na sasa wametangaza kuondoa ukuta wao. Maji ya shingo na soda iliyotikiswa ni upepo tuu huo, hahahahahahahaaaaa!
Umepotea, labda tafuta mfano mwingine. Huo, hapana. Tenga muda, tafari na utagundua Tanzania ni nchi inayokua kwa kasi ikiongozwa na dhamira na dhamiri za maendeleo. Kama umekalia majungu! Ndg yatakushinda utabaki unalialia tu bila sababu, maana hujitambui.
Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaa! Kimenuka huko? Walidhani wao hawahusiki? CAG aende huko uone watakavyotimua, ooooo anaingia uhuru wa vyama. Hela ya wananchi hiyo ndio maana inaitwa ruzuku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.