inaoneka huyajui maisha na umekuja juzi mjini,mimi naishi na watoto wa kikristo wawili na wote nawasomesha mmoja chuo kikuu na mwingine sekondari,haya na mimi ni mwisilamu safiii.embu acha maneno ya uchochezi nyio ndio mnaosababisha matatizo na hizo imani zenu za facebook na jamii forums
wabohaki,kaka Ruta
Nawasalimu wa kunyumba
uanamume ndio utata
mengineyo ni viambata.
sio gari unalobuluta
wala ghorofa yako nyumba
au wangapi umewapata
Ndg.mimi binafsi nimeifatilia hii biashara kwa karibu sana,hii unachokiona ni matokeo ya serikali yetu
kufanya mambo kisiasa zaidi plus conflicts of interest kwa baadhi ya watendaji wa mamlaka ya mawasiliano TCRA.
startime kupitia star media,ting kupitia AGAPE tv,na itv+star tv bado hawajaleta...
WC,
Kweli hawa watu walichanga kwa NIA moja,UWEZO na MIOYO yao misafi,sasa kinachotufanya sisi tushindwe KUWAPA TUNU nini?? au majina yao hayataleta UTAMU kwenye kuyatamka??? kama yale mingine ambayo juzi tu tumyapa vitivo pale Mlimani
Mkuu, wewe kuwa kwako Mhehe au kujua matambiko akukufanyi kuwajua wakina mkwawa
Chukulia mfano mimi,kuwa kwangu Muisilam hakunifanyi kumjua Muhamed Said na ndugu zake zaidi ya yale atakayo taka tuyafahamu mwenyewe"
Mkuu MS
Asantee kwa hili!wewe ni Mtaalum haswa wa haya maswala.
Nilimuuliza mchangiaje mmoja hapa kwa "anawajuwa hawa watu kweli au ?",Ona sasa "NONDO hii ni kubwa kuliko yeye".Kwa wachangiaje wengine "tuache dhana"
UOTE=Kigarama;2729584]Natokana na Ukoo wa kina Muyinga hili la Mkwavinyika (MKWAWA) kuwa muislamu hakika si kweli kabisa. Baba yake Mkwawa, Mnyigumba ambaye kaburi lake liko pale Lungemba hakuwahi kuwa muislamu. Uislamu Kalenga makao makuu ya Mkwawa uliletwa na wanubi na Wamanyema ambao walikuja...
Amaizing...!!!
Baada ya kukaa zaidi ya masaa 18 ukitafakuli jibu la kutoka nalo,sasa umelipata...simply "remarkable" Bravo Mkuu Nguruvi 3.
Umetumia zaidi ya weridi katika kujenga HOJA yako na umetengeneza mazingira ambayo yatakutoa wewe "moja kwa moja" kwenye lawama kutoka kwa wachangiaji na...
Mkuu,
Huna haja ya kumwekea maneno mdomoni Mzee Muhamed Said,watu wote tumesoma na hatujaona neno vita sasa wewe haya umeyatoa wapi!?
Au wewe unalihitaji hilo liwe mtaji wa kisiasa au kwengineko?ili ionekane kwamba MS amechochea vurugu?
Ninacho kumbuka yeye kusema "nyinyi na sisi kukutana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.