Nauza kiwanja changu Chalinze mjini bei milioni mbili na nusu kipo kudiyembe umeme hauitaji jengo nikuvuta waya tu ukubwa wa kiwanja 20*19 mawasiliano 0656660026.
kuna muvi moja ya kivita yupo komando kipenzi na masokolindo komando kipensi anatumwa kwenda kuomba msaada redio hazifanyi kazi vita na wavetnam mpaka anafika kambini jamaa washakufa karibia wote kuna cha uoga anajificha kichakani ana pona masokolindo alifanya kazi kubwa ila anavuta vitano...
ndugu zangu musifike huko dini zililetwa tu hizi wote sisi watanzania ila ottman empire ni historia ya kweli na sec tulisoma na ata ukiigoogle unaipata yote kama unayoiona kwenye tv na hawa jamaa walitawala dunia yote mpaka ulaya na afrika na ndo waturuki wa leo ilisambaratishwa baada ya kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.