Yaani kama kuna Mtanzania anaweza kuomba Chuo LGITI Dodoma online ajitokeze hapa. Ukute Muda huu IT wa Chuo anasubiri Mshahara wakati hakuna kinachowezekana.
Simu hawapokei, wanakosesha mapato serikali, yaani shida tupu.
Hii nchi inakuwa na vijana wa hovyo sana.
Habari wadau.
Naongea na watu wa bodi ya mikopo HESLB. Vijana wetu wanaenda kuomba mikopo kwenye website yao na hakuna msaada. Kwa mfano wamehitaji namba ya NIDA kwa hawa vijana. Baadae wanasema ni lazima Ufanye attachment ya kitambulisho cha NIDA.
Watanzania kibao wana namba. Ok basi itokee...
Wimbo uliosumbua mtandaoni hasa youtube kwa kuwekwa kipande kwa miaka 2 iliyopita hatimaye unazinduliwa. Muimbaji unaweza kuwasiliana kwa namba yake ya Simu
Habai wadau.
Nilidhani kwa vile kila tukinunua luku tunalipia REA hata ukiwa mjini nilidhanih gharama za umeme zingepungua hasa zile za kuunganishiwa umeme. Ila kinyumr chake imesemwa umeme ulipiwe kama zamani.
Watu wanasema umeme kushushwa itakuwa sehemu ya kamapeni mwaka 2025. So watatumia...
Kwa kweli nashangaa. Ilibidi nikamue madesa mengi na kuona report za wenzetu waliona dalili zipi kuona dalili za Ugaidi. Mengi yanaingiliana na hayo. Nikiyalinganisha na kinachoendelea kwetu nasikitika sana. Kinachonisikitisha ni ile kuonekana mbele ya mataifa mengine kuwa sisi ni viazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.