Search results

  1. Aysher_

    Introvert wanalalamikiwa kuwa wana kiburi na dharau

    Ni kweli ndivyo inachukuliwa. Ingekua vema kama jamii ingetambua hizi aina za personalities na kuwaelewa watu kwa jinsi walivyo. Mimi ni mhanga wa kuambiwa naringa, najitenga etc
  2. Aysher_

    A wife is needed

    God grant your desire
  3. Aysher_

    Wanaoomba kulipiwa mahari Al Hikma wafika 1,000, wapo wanawake, wanatakiwa 50 tu

    Tuwaombee mema, ndoa zao zitadumu inshaAllah
  4. Aysher_

    Mke wangu amenifanya nimkinai

    Ndugu utu wako una walakini. Mke amekupatia mtoto! Ndio sababu ya michirizi malipo yake ni wewe kumkinai na kuchepuka! Haki neno kumkinai pia ni baya sana ulivyolitumia kwa mkeo kwa sababu hiyo! Hujachelewa kujirudi na kumuomba Mungu akusamehe kwa mawazo na nia hiyo
  5. Aysher_

    Weekend story: A Woman of the people

    Moral... God is kind and considerate, when we sincerely repent
  6. Aysher_

    #COVID19 Kwa anayejua tunapataje kadi za chanjo ya COVID-19 tujuzane

    Mwenzio kakuambia anataka kusafiri! Kwani mwenzetu hujui kuwa kuna nchi bila kadi kuingii??
  7. Aysher_

    Salamu hizi ziwafikie Shekhe Kishki, Mazinge na wahadhiri wengine wa Kiislamu

    I see. Umeandika vizuri sana ndugu na umeeleweka. Ubarikiwe kwa kuchukua initiative. Natumaini masheikh watapita na kusoma au kutumiwa huu ujumbe. Na hali hii sio huko tu, bali na sehemu nyingine nyingi tu. Allah ndie mjuzi wa yote
  8. Aysher_

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Umenisemea mimi haya yote applies to me. Mimi ni introvert. but haimaniishi kuwa introvert ndiyo kuwa anti social, hapana
  9. Aysher_

    Hatimaye Muhimbili wameturuhusu kumzika mpendwa wetu!

    Kwa hiyo mgambo wa jiji wakizika ndio watalipa na hilo deni? Yani mambo ya ajabu haya. Poleni sana ndugu
  10. Aysher_

    Ajali ya Morogoro imenipeleka kona nyingine

    Yapo mengi sana ya kufikirisha na kusikitisha pia. Mbali na elimu lakini utu haupo tena!
  11. Aysher_

    Uislaam ni mzuri sana ila wengi wetu hatujui

    Haikuhusu ndugu yangu, mind your business
  12. Aysher_

    Tanga... Kunani pale.?

    Ni kweli, sio kongwe, ila inajitahidi kufanya vizuri
  13. Aysher_

    Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

    Hakika lipo la kujifunza katika story hii, both kwa wanaume na wanawake
  14. Aysher_

    Tanga... Kunani pale.?

    Kongei nayo si haba
  15. Aysher_

    7 Surprising Health Benefits Of Ramadan

    Mashallah, what a rewarding period it is! Allah atufungamanishe nayo, amiin
  16. Aysher_

    MAHARAGE AINA YA SOYA

    Kwa kweli hata mimi sijajua kwanini yanaitwa maharage ya soya. Ila tukiongea kiswahili ya kwanza ni soya na ya pili ni maharage.
  17. Aysher_

    MAHARAGE AINA YA SOYA

    Tofautisha soya na maharage ya soya. Picha ya kwanza hiyo ndiyo soya yenyewe yenyewe. Ina nutrients nyingi sana muhimu kwa afya, zaidi ina protein nyingi sana, (zaidi ya mikunde aina zote) yani equivalent to meat. Zao hili hulimwa sana sehemu mbalimbali duniani. Soya baada ya kuvunwa huweza...
  18. Aysher_

    Kumwagilia mimea wakati wa jua kali

    Ha haa. Ni kweli mkuu, hapa nitachekecha nichanganye na zangu. Ila nimefurahi watu wameshea experience zao vizuri, mada imepata flow
  19. Aysher_

    Kumwagilia mimea wakati wa jua kali

    Good argument sir/madam.
Back
Top Bottom