Muda sio mrefu uliopita, mama SAMIA, ametoka kutangaza kuwa Rais wetu ametuacha kwa maana amefariki dunia.... lakini baada ya kurudia matangazo hayo, mnaweka nyimbo ya tumeuona mkono wake Bwana kwa sehemu yangu nimeshidwa kuelewa maana nillitegemea baada ya matangazo ya msiba wimbo wa kwanza...
KWA HIYO WEWE KUMVULIA NGUO MWANAUME AMBAYE SIO MMEO NDIO KUMUONESHA HUYO KUWA AMEKUPENDA ZAIDI KULIKO MMEO???? HIVYO NAWE UNALIPA HAMANI YA UCHI WAKO??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.