I am Looking for a Single Mother who will be ready to be my future wife. I am also a Single father 34 of age, well educated and self employed. A single mother should have at least 25 - 30 of age, and a Christian. Please Let us hooks up "pm"..
Note: For serious Single Mother Only.
Nakubaliana na pia ninawaunga mkono wagombea wetu wawili yaani Wenje na Lau Masha, ila hili la kukiuka kwa makusudi kanuni na taratibu za Uchaguzi ni Uhuni. Sitaki kuamini kuwa hakukua na wagombea wengine mmoja au wawili na kufanya idadi yao wawe wanne au watatu kisha wakapigiwa kura. Huku ni...
Kwanza nianze kwa kusema kuwa Mimi si Fani wa DIAMOND Isipokua napenda Muziki Mzuri anaofanya, Pamoja na Jitihada, Bidii na Discipline aliyonayo katika kufanya kazi zake. Sitaki kuingia kwenye Ugomvi au Maneno au Ushauri ambao Kaka yangu Eric Shigongo ameutoa kwa Managers wa Diamond.
Hoja...
Unakaa Goba gani ww isiyokua na Barabara, au unataka Ujengewe Barabara Mpaka Mlangoni, Kuhusu Maji Dawasa wameshatoa mwongozo nenda serikali za mtaa wako jaza fomu kisha peleka Dawasa.
Kumekuwepo na mtazamo wa kitoto sana kwa watu wanaosapoti Maovu anayoyafanya RC wa Dar es Salaam, kwamba wanaompinga kwa matendo yake, kwamba ni wale wanaouza au kushirikiana na wauza madawa ya kulevya. Hii si kweli Kabisa, wote tunapinga kwa Nguvu zote Biashara hii ya Madawa ya kulevya, Ila RC...
Nimejikuta nawaza mbali sana, kama Mh Rais ambaye alikua kila mara akipiga simu CloudsTv na kupongeza mara kwa mara, baada ya tukio la uvamizi, mpaka sasa sijaona Mkuu akipiga simu hata kutoa pole kwa kilichotokea.
Je, ni kweli haoni au ameziba masikio kwamba hili ni tukio la kawaida kabisa...
Naomba Kuuliza Je WAZIRI NAPE anayo mamlaka kisheria Kuunda Tume ya Kufanya Uchunguzi dhidi ya Mtu ambae ni Presidential appointee, ambaye kimsingi wapo level moja. Tena Tume yenyewe inatoka chini ya mfumo uliyopo nje ya Serikali.
Kwa Mara ya Kwanza nimeanza kuamini kuwa JF ni Mtandao Makini Kabisa, Mimi ni Mfanyakazi wa Clouds Media Group, Nipo Marketing department. Mwanzo Tulikua tumezuiwa kueleza Ukweli wa Hili Jambo, lakini Kutoka na Maadili ya Uandishi imebidi wakuu wa Idara waruhusu lizungumzwe, Leo Asubuhi Karibu...
Kama nilivyowahi kufikiria huko Nyuma kwamba Masha aliingia kama Options ya Lissu, kwamba ikitokea Lissu akafanyiwa Figisu basi yeye aweze Kuchaguliwa, Leo yametimia, Hatimae Masha amejiengua na kuwaomba team yake yote wampigie Kura TLS "Tundu Lissu Sasa".... Kama nawaona nawaona....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.