Search results

  1. Mwakaboko King

    NEC yateua Madiwani 8 Wanawake wa Viti Maalum

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa Madiwani nane (8) wanawake wa viti maalum kujaza nafasi wazi za madiwani katika Halmashauri nane (8) za Tanzania bara. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage amesema uteuzi huo umefanyika...
  2. Mwakaboko King

    Hivi ndivyo viongozi wa CHADEMA walivyojibiwa

    Katibu Mkuu wa CDM Dkt. Vincent Mashinji akizungumza na vyombo vya Habari alisikika akiitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kutotenda haki kwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kuelekea Uchaguzi mdogo utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu. Kufuatia malalamiko hayo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa...
  3. Mwakaboko King

    NEC yamtaka Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu aombe radhi

    Wakuu habari za majukumu, Nimeipata taarifa hii iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi - NEC na kusainiwa na Mkurugenzi wa uchaguzi Bw. Kailima Ramadhan ikimtaka Kaimu Mkurugenzi wa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Paul Mikongoti aombe radhi kufuatia shutuma 3 alizozitoa dhidi ya...
  4. Mwakaboko King

    Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage atoa somo kwa Vyama vya Siasa na Wagombea Udiwani

    Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistolces Kaijage amevitaka vyama vya siasa kufanya kampeni kwa kuzingatia maadili ya Uchaguzi. Jaji Kaijage ameyasema hayo wakati akifungua mkutano wa NEC na vyama vya siasa uliofanyika jijini Dar es Salaam kuelekea Uchaguzi mdogo wa...
  5. Mwakaboko King

    Haya ndiyo majibu ya NEC kuhusu Kampeni na Mikutano ya Siasa

    Ufafanuzi wa NEC kwa Waandishi wa Habari na umma kwa ujumla kuhusu kampeni za uchaguzi mdogo baada ya kufanyika kwa Mkutano kati ya NEC na Vyama vya Siasa jana. Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani anasema kampeni za uchaguzi ziendeshwe kwenye kata zenye chaguzi na si vinginevyo! PART I...
  6. Mwakaboko King

    NEC: Bado hatujapokea Barua ya Kuvuliwa Ubunge wa Nyalandu kutoka kwa Spika

    Kufuatia Mbunge Lazaro Nyalandu kutangaza kuhamia CHADEMA na kuachia nafasi yake ya Ubunge wa jimbo la Singida Mashariki kumekua na maswali mengi juu ya nafasi wazi ya jimbo lake na nini kitafuata, NEC kupitia kwa Mkurugenzi wake wa Uchaguzi Kailima Ramadhani imetoa ufafanuzi huu wa kisheria!
  7. Mwakaboko King

    Walioteuliwa kugombea Udiwani Uchaguzi mdogo Novemba 26 mwaka huu

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WALIOTEULIWA KUGOMBEA UDIWANI KATIKA KATA 43 ZITAKAZOFANYA UCHAGUZI MDOGO TAREHE 26 NOVEMBA, 2017 Tarehe 26 Oktoba, 2017, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifanya Uteuzi wa Wagombea Udiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo katika Kata 43 zilizopo kwenye Halmashauri 36 za Tanzania...
  8. Mwakaboko King

    NEC: Hatujakiuka sheria kuruhusu wapigakura kutumia leseni, kitambulisho cha Taifa na Pasipoti

    Tume ya Taifa ya uchaguzi imesisitiza kuwa Leseni za udereva, Hati za Kusafiria na Vitambulisho vya Taifa vitatumika kwenye uchaguzi mdogo wa Madiwani wa Kata 43, utakaofanyika Novemba 26 mwaka huu. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Ramadhan Kailima amesema wapiga...
  9. Mwakaboko King

    Wagombea Udiwani uchaguzi mdogo watakiwa kutii Sheria

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaagiza wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi mdogo wa Madiwani katika Kata 43 kuhakikisha kuwa wagombea wote katika uchaguzi huo wanatoa tamko la kukiri, kuheshimu na kufuata maadili ya uchaguzi. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Bw. Ramadhan Kailima...
  10. Mwakaboko King

    Wasimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani kuzingatia sheria ili kuepuka kuisababishia serikali hasara.

    Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji (R) Semistocles Kaijage amewataka wasimamizi wa uchaguzi mdogo wa madiwani kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi ili kuepuka kuisababishia serikali hasara. Jaji Kaijage ameyasema hayo leo (Tarehe 15.10.2017) mjini Dodoma wakati...
  11. Mwakaboko King

    Wasimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Madiwani kupatiwa Mafunzo Dodoma

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhan amewaasa wadau wa uchaguzi kuhakikisha kuwa uchaguzi mdogo wa madiwani utakaofanyika katika Kata 43, Novemba 26 unafanyika kwa amani na utulivu. Bw. Kailima ameyasema hayo leo (Jumamosi) mjini Dodoma wakati wa...
  12. Mwakaboko King

    NEC yatangaza uchaguzi mdogo kata 43, Kufanyika novemba 26

    TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 utafanyika Novemba 26 mwaka huu. Mwenyekiti wa NEC Jaji Semistocles Kaijage, amesema kuwa uchaguzi huo unafanyika kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo baadhi ya madiwani kufariki dunia, kujiuzulu...
  13. Mwakaboko King

    Mtazamo wa NEC kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Kenya

    Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani azungumzia yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Msikilize hapa akiwa katika mahojiano na mwandishi wa Gazeti la Raia Tanzania.
  14. Mwakaboko King

    NEC yateua Mbunge na Madiwani 3 wa Viti Maalum

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemteua Ndugu Rehema Juma Migilla kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF) ,kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Hindu Hamisi Mwenda aliyefariki dunia Septemba 1, 2017. Akizungumzia uteuzi huo...
  15. Mwakaboko King

    NEC yatangaza madiwani 12 wanawake viti maalum

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza orodha ya majina ya Madiwani 12 Wanawake wa Viti Maalum walioteuliwa kujaza nafasi wazi katika Halmashauri mbalimbali.Akitangaza majina hayo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw.Kailima Ramadhani amesisitiza kuwa uteuzi wao umezingatia Kanuni, taratibu na...
  16. Mwakaboko King

    Gazeti la MwanaHalisi latakiwa kuomba radhi

    Gazeti la MwanaHalisi limetakiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuomba radhi kutokana na kuandika Tahariri ya uongo. Soma taarifa hiyo hapa
  17. Mwakaboko King

    Kuhesabu na Kujumlisha Kura Siku ya Uchaguzi

    Ndugu wanajamvi ni vyema tukaendelea kuelimishana juu ya mambo yanayofanyika Siku ya Uchaguzi nchini Tanzania na hapa nazungumzia Uchaguzi Mkuu au Uchaguzi mdogo. Fuatana nami katika Mada hii ya utaratibu unaotumika kuhesabu na Kujumlisha Kura Siku ya Uchaguzi. Kwa mujibu wa Sheria ya Taifa ya...
Back
Top Bottom