Search results

  1. Mwakaboko King

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Inaonekana umeamini hayo maneno ushauri wa Bure ungana na mtoa post muende mahakamani mkafungue kesi otherwise unabakia kuwa umbeya na majungu, Mahakama pekee ndicho chombo kinachoweza kuthibitisha na kumtia mtu hatiani, nenda mahakamani maadam Dkt. Kihamia yupo atafuatwa huko. Please nenda...
  2. Mwakaboko King

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Naposoma comment kama hii nasikitika sana!
  3. Mwakaboko King

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Tanzania tunahitaji viongozi wenye kufanya maamuzi kwa vitendo sio mbwembwe za majukwaani halafu utekelezaji 0. Miaka ya nyuma Arusha ilikua kama pango la wanyanganyi kila mtu ana ndevu, baba ndevu na watoto ndevu wakati huo umepita, sasa ni wakati wa kujenga nchi kwa kasi na uadilifu.Mtoa post...
  4. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Kwani nani kakuambia tunabishana? issue ni hoja hapa mambo ya kufikirika hayana nafasi dunia ya sasa
  5. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Unashangaa nini wakati umeitwa:oops::oops::oops:
  6. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Mkuu mbona unachanganyikiwa mapema kabla hata ya uchaguzi?
  7. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Mkuu upo ukimbizini nini?
  8. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Usishindane na muda utaumia!! kama unaweza kazuie wabunge wa upinzani kuhama otherwise acha Katiba ifanye kazi yake maana chaguzi ndogo zote huendeshwa kwa mujibu wa sheria.
  9. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Uchaguzi upo kama unabisha nenda Liwale ukashuhudie! kama mmesusa ni nyie ila wenzenu watapiga Kura
  10. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Na watafanya hivyo maana ndio wapiga Kura na ndio wana Liwale wenyewe!!!
  11. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Wananchi ndio waamuzi wa mwisho, kesho watampata kiongozi wao.
  12. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Watu hawawezi kulala vituoni kinyume cha utaratibu, Mtu akimaliza kupiga Kura anaenda kulala kwake!
  13. Mwakaboko King

    Liwale: NEC yawataka wananchi kupiga kura kwa utulivu

    Sawa wanaojitambua zaidi yako watapiga Kura tu
  14. Mwakaboko King

    Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), ampa Mbowe siku 7 kuomba radhi

    Wadau habari za mchana, nimemsikia Mhe. Mbowe Mwenyekiti wa Chadema katika mkutano wake na waandishi wa habari akilalamika kuhusu chama CHAMA chake kupokwa ushindi katika jimbo la Ukonga na Monduli na akaenda mbali zaidi akisema ushahidi wote juu ya madai yake kuhusu uchaguzi huo anao wote. Sasa...
  15. Mwakaboko King

    NEC yateua Madiwani 8 Wanawake wa Viti Maalum

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa Madiwani nane (8) wanawake wa viti maalum kujaza nafasi wazi za madiwani katika Halmashauri nane (8) za Tanzania bara. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage amesema uteuzi huo umefanyika...
  16. Mwakaboko King

    Hivi ndivyo viongozi wa CHADEMA walivyojibiwa

    Katibu Mkuu wa CDM Dkt. Vincent Mashinji akizungumza na vyombo vya Habari alisikika akiitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kutotenda haki kwa baadhi ya wagombea wa Chama hicho kuelekea Uchaguzi mdogo utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu. Kufuatia malalamiko hayo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa...
  17. Mwakaboko King

    NEC: Hakuna sheria wala kanuni yoyote ya uchaguzi wa Rais, wabunge au madiwani inayotaka mawakala wapewe nakala ya kiapo

    Wanasiasa wa Tanzania wana haja sana ya kujielimisha sana kuhusu sheria zetu
  18. Mwakaboko King

    NEC: Hakuna sheria wala kanuni yoyote ya uchaguzi wa Rais, wabunge au madiwani inayotaka mawakala wapewe nakala ya kiapo

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa itaendelea kuzingatia Sheria, Kanuni, Maadili na taratibu mbalimbali katika kuendesha chaguzi nchini. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhani wakati akijibu shutuma zilizotolewa na...
Back
Top Bottom