Ili upate kujua bingwa mara nyingi au timu kubwa inakupaswa uingie library uangalie ni timu ipi imetwaa makombe mengi ya mashindano ya ndani na nje ya nchi. Ukubwa haungaliwi kwa ligi moja tu. Ukimaliza kuchimbua vizuri huko library utabaini kuwa klabu moja inaizidi nyingine makombe mengi sana...
Ukawa ongezeni nguvu pia wilaya ya nzega. Tatizo timuya chadema iliyokuwepo toka 2010 haikuwa active kuwasimamia vijana na wazee kupata kadi za uanachama na kufungua matawi vijijini. Mwaka 2011 nilipita vijiji vingi na kukuta vijana wanangoja uongozi wa chadema tu wajiunge na nilienda hadi kwa...
Mleta mada unapaswa uelewe kuwa case iliyozungumziwa hapo ni ya shares walizouziana na haikuhusu kabisa pesa za escrow account ambazo mgogoro wake haukuhusiana kabisa na hisa za VIP na PAP wala IPTL. Escrow ilihusu mgogoro wa namna ya kukokotoa tozo za capacity charge kati ya tanesco na IPTL...
Unafikiri kusoma sana ndo kuwa na akili nyingi? Unadhani kuwa na pua kubwa ndo kusema utakuwa na kamasi nyingi? Tuacheni mitizamo dhanifu jamani. Kuna watu wengi wana akili lakini hawakupata fursa za kusoma hadi elimu unazofikiri kuwa ndo kuwa na akili nyingi. Kuna maprofesa wengi lakini...
Ni ukweli usiopingika matokeo yamechakachuliwa. Mdogo wangu alifanya masomo ya Arts lakini yaliyotoka ni ya Sayansi i.e. Phsics na Chemistry ambayo hakufanya. There is no seriousness. Ni vyema matokeo yahakikiwe na doubts ziwe cleared
Habari zenu wakuu. Ninaomba msaada wa namna ya kuinstall WhatsApp kwenye Sony Ericsson WT13i maana nimeshindwa kuelewa kama ni Android, window, ipad, iphone n.k. Nimejaribu options zote lakini imenigomea. Simu hii ina touch screen na inakubali mambo mengi tu ya internet ikiwemo facebook, Opera...
Wewe ndo mwenye matatizo, inajulikana wazi ukisema Steven Masele tayari unajua anashughulika na madini. Wewe hukuona hata wakati wa bajeti wabunge walipokuwa wanahoji madini automatically aliinuka Masele na walipohoji nishati aliinuka huyo rafiki yako.
Hapa kweli nakuona una nguvu moja tu, nayo ni kuongea pumba ili uendelee kupewa ulaji/madaraka wakati ni dhaifu ndani ya chama dhaifu. Chama dhaifu kimeleta sera dhaifu za madini, ardhi, uwekezaji, ubinafsishaji, mafao ya wafanyakazi, uendeshaji wa bodi mbalimbali, ukusanyaji and utumiaji wa...
Akili ni nywele japo haimaanishi kuwa kila mwenye nywele anatumia vizuri nywele zake. Kama unazitumia vizuri ungeweza kujua kama ni swali au jibu. Hata darasa la kwanza wanajua kiashiria cha swali ni nini. Nakutakia Kazi njema ya kutumika.
Kwanza niwapongeze wabunge wote wa CHADEMA na wale wa upinzani kwa kazi nzuri bungeni.
Kero yangu ni juu ya Idara ya Maji Manispaa ya Morogoro. Imekuwa ikikataa kutuunganisha maji kwenye maeneo ya Kola B kwa singizio kuwa kuna mpango uliofadhiliwa na mashirika ya nje wa kusogeza bomba kubwa...
Na mimi pia naomba msaada wa tatizo linalokaribiana na hilo. Niki-install VLC Media Player Icons zote za Programmes (Internet exploler, moderms, etc) zilizopo kwenye Desktop ya laptop yangu hugeuka na kufanana na shortcut ya VLC media Player na hata uki-click hizo icons e.g. Internet explorer...
Hapa umeona mbali sana mkuu. WATU hao uliowataja walipaswa kuwa wa kwanza kuwajibishwa. Upotevu na utumiaji mbaya wa resources zetu unatokana na kupwaya kwa taasisi hizo ulizozitaja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.