Hujakosea. Wanazo Apartments na frem za biashara. Ndo chanzo cha kodi kupanda kwa 300% kitu kilichopelekea mfumuko wa bei ya sukari na vitu vingine. Ijulikane kuwa washika biashara wetu ni wapangaji wa makazi, maofisi na maduka wa Nhc. Huku mchechu akishauriwa na Hamad kushinikiza wapangaji...
Tatizo lilibakia kuubwa sana sasa ni watoa hukumu wetu. Ifike mahali sheria itungwe ili kuwachunguza watoa hukumu wetu kwa kesi zilizo wazi. Anayeonekana kutoa maamuzi ya ovyo achunguzwe ama akawe wakili wa kujitegemea. Hao ni kikwazo kikubwa mno.
Takukuru mimi niko upande wenu kama mnautaka ushahidi. Aliwahi kunipigia simu na kunitukana. Kwa vile tu sikukubaliana na wazo la sisi wapangaji kulipia huduma za walinzi, maji chumvi, umeme wa Tanesco na wafanya usafi humu Golden Plaza katika US dollar, akishirikiana na Bw. BHAVESHI. ilikuwa...
Mimi nawaomba sana hao wachunguzi wa Mchechu wasiache kupita kwa wapangaji waliomo ndani ya Golden Plaza Dar, kujisikilizia wenyewe jinsi matumizi ya dollar yanavyolipia wadada wa usafi, walinzi na umeme wa common areas. Chini ya shinikizo la Mchechu. Tena anakwambia kabisaa hutaki nitakufukuza...
Takukuru mimi niko upande wenu kama mnautaka ushahidi. Aliwahi kunipigia simu na kunitukana. Kwa vile tu sikukubaliana na wazo la sisi wapangaji kulipia huduma za walinzi, maji chumvi, umeme wa Tanesco na wafanya usafi humu Golden Plaza katika US dollar, akishirikiana na Bw. BHAVESHI. ilikuwa...
Pole mchechu. Nakukumbuka ktk ishu ile ya kuwalazimisha wapangaji kulipia huduma za usafi, umeme, walinzi na maji ya kitanzania kwa US Dollar hadi leo hii. Hongera kwa ku side na wabia.
mwenye kuishikiria kesi ni mh. rais. he could count it as a criminal case or civil onem but he sought for acivil case. that being the case. mdaiwa kakubali kosa na yu tayari kulipa. Naomba nipatie jina - sifa (noun) ya mtu huyo je makinika? think bigger friend
Anaye kiri makosa yake jiheshimu usimwite kwa sifa yake kabla. mfano kwa wazinzi akikiri kosa usimwite tena mzinzi mtafutie jina la kumtia moyo ili ajione ameanza kwenda sawa na jamii. kukosa ni kwa wote binadamu. Kwa taarifa zenu ninyi watu weusi; wazungu wakikwambia 'we are sorry" , ujue...
Nimesikia mengi kuhusu ripoti ya mchanga wa madini. Kwa ufupi watu wachache wenye uwezo wa kusikika ktk vyombo vya habari wanaonyesha kutofurahishwa na ripoti hizo. Waliobaki ambao ni wengi mno mno wameonekana kufurahishwa na ripoti hiyo ambayo kwa hakika ni nzuri. (imetuweka huru watanzania)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.