Mi nafikiri hawa waangalizi waache uongo, mbona ndo kwanza leo siku ya pili tu tangu kumalizika upigwaji kura????
Isitoshe hiyo technolojia inayosemwa hapo ni kwa mijini tu, unafikiri kwa vituo vilivyopo vijijini ndani huko hiyo inatumika??? Hapo ni lazima waende maeneo yenye umeme halafu...
Ndugu hii inawezekana sana tu na sio sababu. Kwa ufafanuzi: hizo website ziko hosted katika server moja ambayo inatumia hiyo IP addr: 72.249.185.225, kwa hoja hiyo labda uje na swala lingine...
Hee! Hivi leo ni tarehe ngapi???
Kura zimeshapigwa jamani??? Mama yangu weee mi nilikuwa wapi???
Slaa kashinda uchaguzi????
Mh ndoto hii isipotimia, sijui nyuso zitafichwa wapi kwa kweli!!!!
Vipi bw. Rutashubanyuma, ulitaka aje hapa JF nini????
Halafu suala la mtu kuumwa na kumrudia Mungu wake hilo ni lake binafsi, mi nafikiri ungekuwa muungwana sana kama ungempongeza kwa uamuzi wake mzuri, kwani kwa Mungu hakuna linaloshindikana.
Tuache Unyanyapaa...
Mh huku JF ukimpinga tu wanayemtaka inakuwa balaa. Yani hata kama ni ukweli wanaweza kukutoa roho. Sasa nauliza yule mgombea mwingine aliyeanguka toilet na kuvunja mkono sijui pua hakuwa mgonjwa??? Kama kuanguka tu ndo kisingizio basi yule alikuwa mgonjwa zaidi hadi kuvunja mkono.
Poleni watu...
WanaJF Habari yenu!
Hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga hapa ingawa nimekuwa msomaji mzuri tu wa huu mtandao kwa kipindi kirefu kilichopita.
anyway nimependa tu nichangie hapa kwa kuwa kipindi tulichoacho ni muhimu kwetu Watanzania.
Nafikiri hatuhitaji kiongozi/viongozi wa visasi. Ikiwa hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.