Ubaguzi kwa wana chadema, ni mkubwa utadhani ccm ndio walipa kodi peke yao. Ebu Angalien TBC1, hawawezi kutoa habari yeyote nzuri ihusiyo cdm, bali mbaya ndio wataitangaza weeeee. lkn ikiwa hata katibu wa ccm wa kata ameongea watairusha hewani kuliko kurusha ya m\kiti wa cdm. Mshana Naomba...
Ndugu wana JF, naitaji kununua gari kwa matumizi ya shughuli zangu za binafsi. Nina chaguo mbili kati Carina au Honda Fit, ni ipi imara kwa upande wa kuvumilia mda mrefu bila matengenezo? najua kuna wengi wana uzoefu na haya magari, naombeni msaada wenu kabla ya kufanya maamuzi
kwa yale yaliotokea juzi na jana mjini Dodoma, ni dhairi ya kwamba kikwete anamuandalia mtoto wa mzee mwinyi kuwa raisi wa Jamuhuri ya mungano wa Tanzania. Vigezo ni vingi, ebu angalia halimashauri mpya ya chama? angalia pia kamati kuu. nafiki mpango umeanza na utatimia. Nawasilisha
Ndugu wana JF, Napenda kuwauliza wenye uzoefu kuhusu magari yanauzwa na TRA kwenye Mnada wao unaofanyika kila tarehe ya mwisho wa mwezi yana ubora gani? Je yanapatikana kwa bei nafuu kidogo au? Yeyote mwenye detailed information anaweza kunisaidia mimi na wengine ambao hawana information
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.