Habari za muda huu Wana Jf..
Leo katika pitapita zangu mitaa ya "Daslamu" nmekutana na tukio ambalo limenifikirisha sana[emoji144]
Ni hivi nmekuta kijana kavaa kofia yenye rangi za Jeshi,kakamatwa na mtu aliyejitambulisha kwamba yeye ni "mwanajeshi",kofia aliyeivaa kijana ni kweli Ina rangi za...
Habari za muda huu wana jamii?
Matumaini yangu wote mpo salama,wale msio salama basi Mwenyezi Mungu awape nguvu kwenye kipindi hichi kigumu mnachopitia.
Niingie kwenye mada moja kwa moja.Leo wakati nipo ofisini mida ya saa 8 hivi,nilitembelewa na mgeni hivyo nikashuka chini kuonana nae, sasa...
Habari za muda huu!!
Natumaini tunaendelea kuchukua taadhari na kujifukiza ili kupambana na corona,kwenye ile mitano tena ndo kwanzaaaa tunaanza na tayari kuna dalili ikawa 20 tena😂😂😂....
Anyway sipo kulijadili hilo,niingie kwenye mada moja kwa moja.Kwanza kwa iman yangu mimi ni...
Habari za muda huu wakuu?
Recently mwanangu amekua na shida, ana miaka 2 kasoro lakini hajaanza kuonyesha dalili za kusimama wala kutembea, mwanzoni nilidhani labda atakuwa kachelewa tu, lakini siku zinazidi kwenda, nlidhani labda anaweza akawa mlemavu lakini baada ya kwenda hospital doctor...
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kwa msanii kama Wizkid na Tiwa Savage kuja Tanzania, kualikwa na mtoto wa Tandale, mtoto alielelewa na single mother kwa maisha ya kubangaiza, mtoto ambaye hata Form 4 hajamaliza kama kamaliza basi kafeli) ni bonge la achievement.
KiukwelI Diamond kaleta...
Habari zenu wana Jf..!!
Niingie moja kwa moja kwenye Mada...niliwahi kukutana na msichana mrembo sana,basi nilifanya yanayotakiwa kufanywa mpaka nikawa na mahusiano nae..!!lakini huyu msichana kiganja chake cha mkono mmoja kilikuwa kimepinda,kwa maelezo yake anasema alipata ajali akiwa mdogo ndo...
Habar wana JF!
Mwezi wa 8/2019 TBS walitangaza nafasi za Internship vipi kwa anaefahamu wameshachagua wenye vigezo ama bado? Anaefahamu naomba anitaarifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.