Watu wanaandamana bila kuleta vurugu, hatima yake wanapigwa mabomu na risasi! Kwanini Polisi wazembe wa Tanzania wasipambane na Majambazi ambayo yanatoa roho za raia wema hasa huko Temboni?
WADAU NINA MASHAKA MAKUBWA NA UADILIFU WA ZITTO KWA KAMBI YA CHADEMa, matendo na matamushi yake yananitia mashaka kama bado anaimba wimbo wa ukombozi wa tanzania kwa sauti ya Chadema.
VIGOGO WAWILI WA CHAMA CHA CCM WALIINGILIA KATI MATOTEO YA MAJIMBO TAJWA HAPO JUU, IMEFAHAMIKA. CHANZO CHETU CHA UHAKIKI KINADAI KUWASHUHUDIA WAHUSIKA HAO USIKU MKOANI MBEYA WAKATI ZOEZI LA KUSEHEBU KURA LIKIENDELEA. KWELI CCM MAFIA. :puke:
JIMBO LA LUPA CHUNYA LIMECHUKULIWA NA CCM, NA WALE MAAFISA WA UCHAGUZI WALIOTUHUMIWA KWA UCHAKACHUAJI NA KUSHIKILIWA NA DOLA WAMEACHIWA BILA MAELEZO YA MAANA :peep:
jamaa walikusanya matokeo sehemu anakokubalika zaidi mpinzani badala ya kuwasilisha kwa mkurugenzi wakajifungia mahali na kuanza kupika, wakiwa wamezima simu zao baada ya kutafutwa kwa muda wa masaa kadhaa ndipo walipogunduliwa kwenye ilikokuwa ofisi ya elimu ya zamani wakiwa wanaandika taarifa...
WASIMAMIZI WATATU WA UCHAGUZI CHUNYA WAMEWEKWA NDANI KWA TUHUMA ZA UCHAKACHUAJI, HABARI KAMILI ZINAMTAJA AFISA ELIMU KILIMO BWANA MBULULE NA AFISA UKAGUZI NA MHUSIKA MWINGINE AMBAYE HAJAFAHAMIKA JINA WAMEWEKWA NDANI TOKA JANA JIONI KWA TUHUMA ZA UCHAGUZI. INASADIKIWA MATOKEO YALIYOKUWA YANAPIKWA...
Wasimamizi watatu wa uchaguzi chunya wamewekwa ndani kwa tuhuma za uchakachuaji, habari kamili zinamtaja afisa elimu kilimo bwana mbulule na afisa ukaguzi na mhusika mwingine ambaye hajafahamika jina wamewekwa ndani toka jana jioni kwa tuhuma za uchaguzi. Inasadikiwa matokeo yaliyokuwa yanapikwa...
NIMEFUATILIA KWA KARIBU MNO KAMPENI NA MCHAKACHO MZIMA WA UCHAGUZI ZANZIBAR, KWA MARA YA KWANZA CUF WAMEIBOMOA PAKUBWA NGOME YA CCM UNGUJA. TAFSIRI YAKE KUWA USHINDI KWA CUF ULIKUWA DHAHILI, SASA NAJIULIZA SHARIF AMEKUBALI MUSTAKABALI WA ZANZIBAR ZAIDI KULIKO USHINDI WAKE?:israel:
UNAWEZA PATA MATOKEO KWA KUSIKILIZA BBC HAPA
BBC Swahili on USTREAM: Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC ikisikika moja kwa moja kutoka Dar Es Salaam maalum kwa matangazo ya uchaguzi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.