Sawa nimekuelewa.
Nina kampuni ya Usafirishaji. Nahitaji magari hayo kutumika katika kazi za kampuni. Maana mahitaji yameongezeka.
Magari hayo naweza kukodi kulingana na makubaliano. Au kuyanunua kwa kulipa kiasi kila mwezi hadi kukamilisha malipo. Kwa mfano nalipa ndani ya mwaka mmoja.
Hello. Nahitaji magari yafuatayo kwa mkataba. Kama ambavyo watu hutoa mkataba wa pikipiki na gari za Uber.
Nahitaji;
1. Fuso 10 Tone.
2. Canter 3.5 Tones. Au Eicher au Tata.
Mh. Spika simamia ajira za wasaidizi wa Mbunge kuondoa ubinafsi, uchoyo na ufisadi.
Wabunge wengi hawalipi mishahara kamili kama inavyotoka bungeni.
Watumishi hao ambao ni watatu, Katibu, Dereva na Mhudumu wa ofisi hawapewi mikataba ya kazi na wabunge kinyume na agizo la Bunge.
Wasaidizi hao...
Ule usemi wa kuwa boss hanuniwi unaendelea kudhihirika ndani ya Chadema. Ambao walisema hawautambui uchaguzi hivyo chochote wanachopata kutokana na uchaguzi huo hawatakipokea.
Lakini kwenye pesa imekuwa tofauti kwani hivi sasa wanawinda 109M kila mwezi toka November na hawajazikataa.
===
Miezi...
WANAWAKE CHADEMA WAKOMALIA VITI MAALUM UBUNGE: WASEMA WAKO TAYARI KUVULIWA UANACHAMA WAKIWA BUNGENI
- Ni katika kikao kinachoendelea muda huu bahari beach Hotel
- Wanaume wawataka wanawake wa Viti Maalum kukataa Ubunge huo
- Halima Mdee na Esther Bulaya waongoza mgomo wa BAWACHA kutaka...
Kwa msiojua sheria za uchaguzi, tayari majina ya wabunge viti maalum yalikwishapelekwa.
Kwa mujibu wa sheria za Uchaguzi, majina ya viti maalum hupelekwa walau siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu. Hivyo majina hayo yapo na jina la kwanza ni Halima Mdee, la pili Esther Bulaya n.k....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.