Sheikh pilau huyu, kwa hiyo kama hakuwatetea sasa waliowafunga ndiyo bora? hii ni kama mtu kauwa halafu unamlaumu mwingine kwa kusema nitatoa ushahidi niliona akiuwa, halafu ndugu wanamtetea aliouwa na kusema mbona hujamuokoa wakati uliona akiuliwa, mawazo ya kijinga kabisa nafuu angekaa kimya
Nimecheka sana, alivyosema Magufuli ilikuwa sahihi jina lako ni njaa, kwa hiyo demokrasia ni kushinda 99.9% baada ya kuengua wengine?na hata mtoto wangu wiaka 5 ukimuuliza kuhusu uchaguzi atakuambia ni mgumu sasa 90%+inatoka wapi? Nilikuwa nadhani na kuamini wewe ni mwanataaluma wa maana,lakini...
Kwani kenya siyo kwao pia,kwa taarifa yako wasomali wana mikoa minne ndani ya kenya na ni kabila lenye ardhi kubwa kenya inaitwa northeastern na wana jumla ya wabunge 12.hivyo jifunze historia.wasomali wanaishi nchi 4 na wana ardhi na ni raia kama kabila zingine ethiopia,somalia,djibuti na kenya.
Hivi umesoma ukaelewa,hata hapa kuna hospitaly ngapi yenye vifaa vya kupambana na corona?yenye ventilators ya kutosha?
Sikiliza uelewe kinacho zungumzwa,ni hospitaly pekee yenye uwezo wa kupokea wagonjwa wa corona,na ina vtanda ya ICU 21 na tanzania nzima kuna vitanda 38 ya icu kwa taarifa yako.
Nataman
Natamani yawe kweli kama hizi jitahada zitasaidia,lakini mwezi wa tano nikipigia hesabu kulingana na watafiti nashtuka,tutayafishe makaburi na sehemu za kuhifadhia maiti kama system ya kuchanganyika itaendelea,february marekani alipuuza watu wakachanganyika mwezi wanne watu 1900...
Huo ni mkataba hewa,ha hali njnayoiona hatuna mahindi ya kuuza nje mwaka huu,tukiuza sisi itabidi tuagize,nataka nione ikigika mwezi wa 9 kama utasikia kuna mtu anapeleka mahindi huko kwani bei ya ndani itakuwa kubwa kuliko hiyo ya kuuza nje.
Huu ugomvi umeanza pale wafanyakazi wa bunge la PAP walivyogoma wiki iliyopita kwa kumtuhumu Rais wa bunge la PAP kutumia madaraka yake vibaya kuwatusi na kudai ngono,bunge likashidwa kufanya kazi ikabidi wabunge waingilie kati kumtaka Rais achunguzwe na makamu ashikilie kwa muda, sasa Rais wa...
Continental tyres ni kama cocacola wanamiliki asilimia kutumia technologia yao enzi za mwalimu,lakini kiwanda kilishindikana pale mashamba ya malighafi yalipo uzwa kama lile la tanga na zanzibar ambayo ilikuwa inasupply mpira, hicho kiwanda hakiwezi kufufuliwa kwani mbali na technologia,tyre...
Huyu wakili wanadai alitaka kuiba hizo hela,sasa wakampa kesi miaka 8 bila kusikiliza ili akubali makosa halafu wanataifisha mali yake yote ambayo hiyo hela hajachukua,sasa hapo ndiyo utaona shida iko wapi,unapewa kesi ya kutaka kuiba halafu unakaandani hadi ukubali ili ufilisiwe.
Hamna njia ya kufufua hicho kiwanda kimepitwa na wakati,hapo ni jengo tu,technolojia imebadilika sana hicho kiwanda inatengeneza matairi yenye kutumia Tube hivyo kiwanda lazima ubadilishe vitu vyote uanze kutengeneza tubeless tyres,nilifika hapo kuna kipindi kikifanya kazi na walikuwa bidhaa...
Nani alikuambia hiyo uongo, yana tyre ilinunua kiwanda cha firestone kenya ambaye mmilikiki ni bridgestone ya marekani,na general tyre mmiliki ni continental tyre ya marekani.
Baada ya watu wasiojulikana kwenda upande wa kenya mpakani Namanga na kumteka kijana raia wa kenya,wananchi wa kenya wamefunga mpaka wa kenya hadi Tanzania itakapo mrudisha kijana wao,vijana hao wanadai gari aina ya landcruser ilifika dukani kwa huyo mwenye duka na kumtishia kwa bastola na...
Kumpiga risasi kwa kueleza mawazo yake ndiyo kuendelea,na vyojua mimi ni mshamba na anaedhalilisha noble profession yake ni yule anayeona sheria mbovu ziki pita na sheria zikivunjwa na kuitetea ivunjwe,na siyo yule anayepaza sauti anapoona sheria haifuatwi na yeye anatetea ifuatwe,halafu unasema...
Kila nchi na jamii ina miiko yake na maadili yake,kuna nchi wanashangaa amber rutty kafikishwa mahakani,tuwaache watu na maadili ya nchi yao,inaweza kwako ukaona sawa kwa mwingine haifai.
Nimesikia kila rais akisima anasema anatetea wanyonge hao wa nyonge ni wakina nani?
1) Mkulima ni moja, leo hii mkulima wa mahindi amefilisika baada ya kuzuiwa mahindi kwenda nje na soko letu la kenya kufa,wakulima mbaazi baada ya bei elekezi ya serikali kama huko manyara mwaka juzi wanunuzi...
Indian saying african are racist🤣😃😃,very funny indian invented racism,they are racist till they isollate their own by clan system,even their rats are racist the don't mate with lower class rats.
Thats the broblem with indian culture,you steal and lie,show your passport if you were deported,you left your self,if your prime minister can lie to us,what about you,in the ariport there is cctv and no evidence of any body forcing you in the plane,so stop this lie.
Thats the broblem with indian culture,you steal and lie,show your passport if you were deported,you left your self,if your prime minister can lie to us,what about you,in the ariport there is cctv and no evidence of any body forcing you in the plane,so stop this lie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.