UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unaoundwa na vyama vinne vya upinzani vimedai kubaini mchezo mchafu ambao unataka kufanywa na serikali ya CCM kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC). Anaandika Dany Tibason, Dodoma (endelea).
Hali hiyo imejitokeza kutokana na kile kinachodaiwa...
nyie mnaotukana watu wengine eti ni wagonjwa mtatangulia nyie maana mnajiona wenye afya na dhamana ya kuishi kuliko wengine. wanaochechemea wanajua namna ya kutunza afya zao mliojazia miili yenu mkajiona mna haki kuliko wengine shauri yenu
mbona yule first lady alisema hawana shida na siasa na kwa sasa wamepta mpunga mwingi kutoka kwa wafadhili wao waliowatuma kuvuruga upinzani
hivi marekani wamenanza lini kula mihogo?
kama huyu mtu mzima amechona na anapingana na sheria bora tumpeleke jumba la makumbusho akapumzike. lazima tulinde kura. kama ma mcc yanaibiana yenyewe yatashindwa nini kuiba kura z edo?
hatutaki raisi mwenye vijazba visivyo na msingi, alileta vijaziba vya kisukuma wachina wa std 7 wakampiga chini mahakamani na kuiingizia nchi hasara ya mabilioni
hivi ni nani yule wa timu yenu anayeenda kubadili damu ulaya? tukumbushane maana siku hizi watu wanazimika wakiwa na miili iliyonona
kuna mwimbaji mmoja alimwambia warioba ni kazee tena kagonjwa cha kushangaza alitangulia yeye bado babu anadunda mtaani
huu ni upuzi wa hali ya juu kwa sababu MUANDAAJI wa mdahalo ameishapeleka barua ya mwaliko kwa vyama kushiriki mdahalo LAKINI eti baadae waandaaji wa mdahalo wanaenda kuwashawishi wakubali kushiriki mdahalo? unawashawishi ili iweje? hamuoni hiyo ni rushwa? hamuoni kwamba huu mdahalo umeandaliwa...
sijawahi kuona utafiti wa kishenzi kama huu, eti unamhonga mtu simu na solar power halafu unaenda kumhoji wewe mwenyewe.
naona mcc mnajitekenya na kucheka wenyewe
fanya
kwenye yale mawasiliano yaliyovuja cku chache zilizopita ccm walisema ni lazima wa influence utafiti wa uongo na wakaenda mbali zaidi wakasema watafanya utafiti wao na ccm wameishafanya na kutoa matokeo. wakataja na taasisi nyingine watakazo rubuni zitoe matokeo feki ya utafiti na hili...
VIONGOZI wa Chama cha Alliance for Democrat (ADC) mkoa wa Dodoma wamejiengua katika uongozi huo kwa madai chama hicho hakina nia ya dhati ya kufanya mageuzi kwa manufaa ya Umma. Anaandika Dany Tibason (endelea).
Mbali na chama hicho kutokuwa na nia ya ukombozi uongozi wa juu kwa maana...
Mgombea mwenza wa urais, kupitia CCM Samia Suluhu Hassan.
Mgombea mwenza wa urais, kupitia CCM Samia Suluhu Hassan, amesema chama chake kikishinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, serikali ya Dk. John Magufuli, itanunua meli tano kubwa, ikiwamo ya shughuli za uvuvi katika ukanda wa kiuchumi...
kwa hiyo magufuli anayejinadi kwa kututmia nembo ya cdm ni kijana wa mtandaoni? hivi na wewe ni great thinker wa ccm ?
mme lalukiwa na akili kitu ambacho ni hatari kwa ustawi wa taifa hili. bora mtu akafanye kazi na boko halamu kuliko chama kilichochoka kama hiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.