ushauri uliotangulia mzuri kwer ni minyoo kweri na wakati mwingine manyoya unyauka kwa ilo wapake oil chafu kuuwa wadudu na dawa za minyoo waweza kuzidunga au vidonge kuvisaga na kumix kwenye pumba na mlo mzur ni pumba iliyochanganywa na damu kavu na maji ya kunywa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.