Mkuu wetu ALI-HADAIWI
Masharti yako ni magumu sana .JAMIIFORUMS hawako tayari kwa masharti yako...
Wahukumiwe kwa hizo bahasha za kaki...
wahukumiwe kwa njaa zao
broken heart....
broken heart iliyokata tamaa (mara zote hufikiria kujiua)
another broken heart
broken heart at its maximum level
POLENI SANA DADA ZANGU!mioyo yenu imevunjwa vunjwa (ni kwa sababu mliruhusu kuendeshwa na hisia zaidi kuliko ukweli wenyewe wa maisha.....)
(potelea mbali...
mkuu ninashukuru sana kwamba umeliangalia hili ''beyond the normal limits'' hebu kamata hii:
The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:
carina-TI (Today)
hapo ndipo utata wa msamaha wako unapoibuka.......
hapo ndipo penzi ulilonalo dhidi ya huyo kijana linapojidhihirisha.....
mi nadhani wewe SONGA MBELE....!
si ajabu mwenzio keshaoa na keshakusahau kitambo na siku nyingi sana...we unajiumiza kwa mastress,ma likizo na misamaha yenye ''lakini''...
yaani ninyi wakinamama mnashida sana.....!sisi wanaume tunaosoma katikati ya mistari tunajua kuwa:
1)-bado unampenda sana tena sana
2)-hujamsamehe!hujamsamehe kwakuwa ...(rejea point nr moja)
YUPO KWENYE DAMU YAKO HUYO MTU........!
HE DRIVES YOU CRAZY.......!you know why....?
hapa ulikosea.....!
tena kama wewe ni mchaga basi utakuwa wa KISHUMUNDU.....yaani wewe ulijichukulia madaraka mkononi UNAANZA TU KUMUAMINI?..lakini pia mimi nadhani ni ''utoto''
sasa mama.....
unamchukulia mtu kama MUME kwani alileta barua ya posa au mahari alitoa?
hivi mama.....!
uliwezaje...
tatizo lako ni kwamba ''maisha umeyapangilia sana''...
lakini pia tatizo kubwa ni kwamba UNA KINYONGO KIKUBWA SANA NA HUYO ALOKUTENDA.....!na by the look ninaona wazi kabisa kwamba UNATAKA KUFANYA KAMA REVENGE HIVI...
MSISITIZO:sijaona hata chembe ya ''amani'' moyoni mwako....neither do i see...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.