Acha kupotosha uma hao matajiri wengi ni wasomi kuliko hao darasa la saba unawazungumzia wewe. Probability ya kutoboz na hiyo elimu yako ya darasa la saba ni ndogo sana otherwise utaishia kufanya biashara ndogo ndogo. Marehemu Dr Mengi alikuwa phd holder na exposure ya kutosha ambayo imemfanya...
Huyu ushamba unamsumbua alafu anataka jamii imuonee huruma. Hiyo nyumba miaka yote inakumbwa na mafuriko. Mzee kimya kimya alikuwa analipwa n insuarance. Si ajabu labda bima imeisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.