Amani iwe juu yenu,ni miezi 8 sasa imepita tangu nitembelewe na wageni shambani kwangu wazungu wawili na watanzania wawili wakiwa na bidhaa zao wanazouza na kukopesha,wakaniomba nikusanye wakulima wenzangu waje waone hiyo bidhaa,nikawataarifu wakulima wenzangu waje waone bidhaa...
Muimbaji wa Chekecha, Alikiba amesema kwa sasa hafanyi tena muziki wa playback bali ni live peke yake.
Akiongea na 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM, Kiba alisema siku si nyingi ataitambulisha bendi yake.
Nimeamua kuacha kufanya muziki wa playback, na sio muda mrefu wataniona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.