Mkuu sio insta.. sema hiyo title nimeshindwa kuochange.. mwanzoni ndo ilikuwa na functionality kama za insta.. ila sasa imetofautishwa... demand naamini ipo unaweza kuchech.. kwa sasa ni ya kiprofessional na kibiashara zaidi kwa functionality zake..
Mkuu unaweza kutoka.. ila swala la usalama liko njema kabisa.. hii ni kampuni kwa sasa kama nyingine.. so maswala ya kiusalama hatutofautiani na makampuni mengine.. serikali ikitaka data haiwezi kuzichukua kirahisi bila idhini yetu mteja au mahakama.. hii ni kampuni kabisa.. tembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.