Hata mashambuzi mazito yanayofanywa na Hezbollah na Houthis, kuna mkono wa Iran. HEZBOLLAH walimpiga Muisrael hadi akaomba cease fire mwenyewe. Houthis ameshindikana. Nguvu za Iran siyo za kudharau hata kidogo. Ya juzi alimfanyia tu mchezo wa kitoto. Na amini kuna siku watafanya ambush ya...
Iran imefanya mashambulizi kibao katika kambi za Wanajeshi wa Marekani, kituo cha Mosad pale Iraq, US base pale Jordan na yote yalileta madhara ya kutisha. Hii ya juzi ni kama waliamua kuonyesha wanaweza kurusha drones kutoka Tehran hadi Tel Aviv.
Mtakuja kutuambia. Hii Secretariat ya Nchimbi ni mbovu kuwahi kutokea. Ni zaidi ya ile ya Wilson Mkama. Picha linaanza wanafanya kazi na kutoa hotuba kama vile ni watumishi wa umma(civil servants). Wamegeuka wasemaji wa maafisa masuhuli na Mawaziri katika maeneo tofauti tofauti. Nadhani hili...
Kulihitajika mabadiliko madogo ya katiba kabla ya mabadiliko ya sheria. Hakuna faida ya kutoheshimisha katiba. Katiba ipewe Hadji yake ya kuwa supreme over anything ndani ya nchi. Katiba iogopwe. Katiba haiwezi kujitetea. Inatakiwa itetewe. Katiba itajitetea kwa nchi kuharibika na kila mtu...
Mwaka huu ni Miaka 40. Kila mwaka hufanyika lakini kwa uchache. Ngazi ya familia, marafiki na baadhi ya viongozi wa chama na serikali ngazi za mkoa, wilaya, kata na kijiji.
Uzito wa mwaka huu ni muda.
Kuna faida gani ya kuanzisha mkoa? Badala ya kuanzisha halmashauri na kata, wanataka mkoa? RC na timu yake watakuja kuwasaidia nini? Ni nini wananchi hufuata mkoani?
Weusi waliopelekwa katika Asia waliishia wapi kwa sababu hawapo hadi sasa. Lakini tunawaona we us I waliopelekwa Ulaya na Marekani, mabaki yao yapo. Wazungu wanapenda rasilimali(mali) lkn wana kuwa na ubinadamu. Hadi sasa katika utumwa mambo leo, ukifanya kazi shirika la mzungu, utalipwa vizuri...
Labda walikuwepo lakini ni wataalam juniors waliokuwa wakiwasaidia hao seniors. Unadhani hao mawaziri hawakuwa na wasaidizi? Waziri wa Ardhi hakwenda na wasaidizi? Waziri wa mambo ya nje hakwenda na wasaidizi? Inabidi ujifunze Itifaki wa serikali. Wanaotokea kwenye picha muhimu mara nyingi ni...
Rais yupo juu ya vyote kwa sababu:
1. Ni Mkuu wa Nchi
2. Amiri Jeshi Mkuu
Vyeo hivyo hupata baada ya mchakato wa uchaguzi unaoakisi kukiri kwa Watanzania watu wazima kuongozwa na mtu huyo.
Rais ni cheo ambacho Katiba iliyo kimya(Katiba fiche) na sheria zake hukutana na Katiba hii ya wazi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.