Mazungumzo magumu si jambo rahisi , moja ya jambo linalowatatiza wengi sana kwenye maisha ya kila siku na kama hauna mbinu dhidi ya mazungumzo magumu yanaweza yasikuache salama kihisia na kiakili, nchini kwetu kwa sasa tunaye Rais ambaye utashi wake mkubwa ni kuona mambo yanakwenda na kama kuna...
Wajapani ni moja ya nchi ya watu wanaochapa kazi sana, na utamaduni wao huu wa kuchapa kazi imewasaidia sana kupaa vileleni mwa nchi zenye uchumi bora na magunduzi mengi katika safari za kimafanikio, moja ya eneo ambalo wajapani wanalipatia uzito sana kwenye kazi ama maeneo ya kazi ni mahali...
Jana zoezi lilikwenda vyema pamoja na changamoto ya watu wengi kutokufahamu ,dhana hii mpya lakini tumekbaliana kuendelea kuwaamsha walio lala zaidi na zaidi , shukrani sana kwa Guru Kinabo , Angela Adolf pamoja na washiriki wote walioanza mwanzo mpaka mwisho , pamoja na Mwal Reiner Charles...
Jana zoezi lilikwenda vyema pamoja na changamoto ya watu wengi kutokufahamu ,dhana hii mpya lakini tumekbaliana kuendelea kuwaamsha walio lala zaidi na zaidi , shukrani sana kwa Guru Kinabo , Angela Adolf pamoja na washiriki wote walioanza mwanzo mpaka mwisho , pamoja na Mwal Reiner Charles...
kanuni isiyochakaa kuhusu maisha inasema kila zama na kila utawala kuna wanaoneemeka na wanaoteseka na mwisho (maisha ni mateso na mateso hayawezi kuondolewa na akili za kawaida ambazo haziwezi kutulizwa na kutafakari kwa kina namna ya kuondosha mateso..... Karibu sana nawe mpendwa
Kwa mara nyingine Light and sound meditation Africa ,Inakuletea mafunzo ya kiroho jijini Mwanza yatakayofanyika kwa siku mbili yaani jumamosi na Jumapili 13/14 /4 /2019 kuanzia saa tatu asubuhi ,Maeneo tulivu ya Royal sunset campsite beach Malimbe Luchelele.
Unakaribishwa wewe na familia yako na...
umesema unatafuta usiku na mchana na sasa unaona giza tu haupati unachokitaka maswali muhimu nimekuuliza kwamba
umeweka malengo cute ?
je hapo unapotafutia unafikiri ni mahali sahihi?
kwa kiwango kikubwa maisha yako unayafanyia utani , na mwisho huwezi pata chochote bora anza kubadili tabia zako , hata uandishi wako tu unaonyesha hauwezi kuwa na wazo kwa msaada zaidi wasiliana name kwa whatsapp 0759880010~ Michael The Great one.
Majibu yapo ndani yako na si nje yako , unachoweza kufanya kuyapata majibu hayo ni pamoja na
kujiiuliza maswali magumu na uyapatie majibu sahihi na maswali hayo ni kama haya yafutatayo...
Ni kitu gani haswaa unataka kwenye maisha yako?
Kina umhimu gani /thamani gani kwenye maisha yako?
Ni kwa...
bure mkuu ni MB zako tu mpaka sasa group hili linamiaka miwili ni matokeo ya wengi kufanikiwa kutokana na kundi hilo na wengi wameanzisha biashara na kuchukua usukani wa maisha yao.... wasiliana name kukuunga kwa namba hizi 0759880010 kwa whatsapp.~Michael The Great one
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.